Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

Nimejaribu sana kufuatilia PHD za US na Maprof wao..Aisee watu wanapigika sana paper zao kuwa published ktk journals za kueleweka.Watu wote wanapigika hadi wanaonyesha kiwango na weledi ndio wanapita.Si weupe,si wekundu,si wa njano na hata weusi..wengine hadi wanakimbilia kusema ni ubaguzi wa rangi..ila wakipita huwa wanaonyesha hiyo mambo haswa ktk real life.Hapa Bongo naona design km watu wanachukua tuu gamba..labda tuu km kuna siasa ndio zinawakwamisha.Kuna watu wa uchumi,Political science,vyuo vipya km vinapiga promo kwa staff wao fasta fasta fulani.Hivi kuna hizo journal ambazo haziwezi kuwa influenced kisiasa kweli?


Tembelea CCM Kivukoni utapata majibu yako , kwa ushauri zaidi waone makada wa CCM Lumumba
 
Wanamuuzia Mugabe , Kabila, Jammeh, Museveni, tehtehtehhhhh
Teh teh.Haya majamaa huwa yananichosha. huwa nacheka sana nikikuta misomi ya kibongo,haina tofauti na waandishi wa magazeti ya michezo bongo,wanapochukua habari katika mitandao fulani,wanapotafsiri wanaweka uongo mkuubwa.Kisha wanajiita wachambuzi wa kimataifa wa mambo ya michezo,siasa za dunia, mambo ya kiuchumi duniani.Wote ni km Le mutuz kujiita mtaalamu wa social media.

Kama walivyokimbilia kuanzisha sijui degree ya gesi na mafuta.Hizo tafiti za mafuta miaka kibao zimefanyika na clue ilikuwepo hawakuwa wamepeleka wasomi wa kutosha kuwa sahemu ya watafiti na wengine wa uchimbaji.Kwao vitu ni rahisi kama kujipachina vyeo na sifa kisha kuwapa akina salim kikeke wa BBC wawaite wakati wakitaka kuwasikia.BBC, na idhaa nyingine wazungu wakijua ujinga unaondeshwa watafukuzia mbali wapotoshaji hawa.
 
Teh teh.Haya majamaa huwa yananichosha. huwa nacheka sana nikikuta misomi ya kibongo,haina tofauti na waandishi wa magazeti ya michezo bongo,wanapochukua habari ktk mitandao fulani,wanapotafsiri wanaweka uongo mkuubwa.Kisha wanajiita wachambuzi wa kimataifa wa mambo ya michezo,siasa za dunia, mambo ya kiuchumi duniani.Wote ni km Le mutuz kujiita mtaalamu wa social media.


Yule Professor Mkandala mtabiri wa matokeo ya uchaguzi pale UD kapotelea wapi na zile statistics zake ???

Husikika kila baada ya miaka mitano siku za mwisho za kampeni za uchaguzi , tehtehtehhhh
 
Yule Professor Mkandala mtabiri wa matokeo ya uchaguzi pale UD kapotelea wapi na zile statistics zake ???

Husikika kila baada ya miaka mitano siku za mwisho za kampeni za uchaguzi , tehtehtehhhh
Bongo ni kichomi.Ndio maana sio ajabu liprof leo linasema serikali ina nguvu,kesho linasema tena Sijui Mengi ananihujumu. Na halioni nini kimekaa vibaya.WALIKUWA WANASEMA ETI WAMESOMA SANA HADI WAMEKUWA VICHAA.AU WANA AKILI NYINGI HADI WANAKUWA VICHAA.
 
Bongo ni kichomi.Ndio maana sio ajabu liprof leo linasema serikali ina nguvu,kesho linasema tena Sijui Mengi ananihujumu. Na halioni nini kimekaa vibaya.WALIKUWA WANASEMA ETI WAMESOMA SANA HADI WAMEKUWA VICHAA.AU WANA AKILI NYINGI HADI WANAKUWA VICHAA.


NJAA NI MTIHANI MKUBWA , MA PROFESA wanakuwa MA PRO PESA

PROFESA SHIVJI ANABADILISHA KAULI KILA LEO KUCHUNGA TUMBO tehtehhhh
 
NJAA NI MTIHANI MKUBWA , MA PROFESA wanakuwa MA PRO PESA

PROFESA SHIVJI ANABADILISHA KAULI KILA LEO KUCHUNGA TUMBO tehtehhhh
wajamaa ni wajinga kweli kweli. ni wanafiki na huwa hawawajibiki kabisa kwa hasara zao duniani kote. Hawana tofauti na magaidi. Utashangaa wanausifia ujamaa ila HAWANA MIFANO BORA YA WAJAMAA WENZAO POPOTE.KUTWA WANAVIZIA FIKRA ZA VIONGOZI WA KIBEPARI NA MAFANIKIO YAO NDIO HUWA WANAJISHIKIZA KWA KUJIFANYA NDIO WATAALAMU WA HAYO MAMBO.KWAMBA MABEPARI NDIO WANAWAIBIA MAWAZO YAO. Popote hata katika midahalo ya nchini.Huwa wandandia agenda za wengine,kisha wanageuza kuwa wao ndio wasemaji wakuu, au kusema wametukanywa.Wao ndio walishiriki kuandika hizi sheria kama ZA KUKUFURU kwa nchi km pakistani. Sasa wakuu wa wilaya,mikoa, na wa kisiasa.Wakiona kitu hawakitaki kinaitwa kufuru mtu anadhibitiwa.
 
kuna namna mbalimbali za kuona watu wanachapisha wapi. Mojawapo unaweza kucheck kwenye google scholar ukatafuta chuo husika. Mfano UDSM (user profile for University of Dar es Salaam) utapata hii link inayoonyesha individuals wanavyochapisha na ni journal gani

Google Scholar Citations
 
kuna namna mbalimbali za kuona watu wanachapisha wapi. Mojawapo unaweza kucheck kwenye google scholar ukatafuta chuo husika. Mfano UDSM (user profile for University of Dar es Salaam) utapata hii link inayoonyesha individuals wanavyochapisha na ni journal gani

Google Scholar Citations
Mkuu shukrani .Angalau sasa tunaanza kuongea.Nimepitia fasta.Naona wachache sana na wa fan fulani fulani ambazo nadhani pengine walionyeshwa na wafadhili wao pa kuweka.
 
Nimejaribu sana kufuatilia PHD za US na Maprof wao..Aisee watu wanapigika sana paper zao kuwa published ktk journals za kueleweka.Watu wote wanapigika hadi wanaonyesha kiwango na weledi ndio wanapita.Si weupe,si wekundu,si wa njano na hata weusi..wengine hadi wanakimbilia kusema ni ubaguzi wa rangi..ila wakipita huwa wanaonyesha hiyo mambo haswa ktk real life.Hapa Bongo naona design km watu wanachukua tuu gamba..labda tuu km kuna siasa ndio zinawakwamisha.Kuna watu wa uchumi,Political science,vyuo vipya km vinapiga promo kwa staff wao fasta fasta fulani.Hivi kuna hizo journal ambazo haziwezi kuwa influenced kisiasa kweli?
Hawa ndo wasomi wetu wa Chuo kikuu pendwa nchini Tanzania, University of Dodoma
http://internationalscholarsjournal...810301281659217.pdf&type=application/pdf&op=1
WAMEIBA KAZI YA; Dr. Simeon Mesaki aliye-publish 2009
http://www.academicjournals.org/article/article1379412973_Mesaki.pdf
 
Hawa ndo wasomi wetu wa Chuo kikuu pendwa nchini Tanzania, University of Dodoma
http://internationalscholarsjournal...810301281659217.pdf&type=application/pdf&op=1
WAMEIBA KAZI YA; Dr. Simeon Mesaki aliye-publish 2009
http://www.academicjournals.org/article/article1379412973_Mesaki.pdf
Tanzania imekuwa mbaya sana.Kama vile hawajui kwamba urahisi wa google kuona vitu pia ndio ugumu wa kuiba kazi bila kudakwa.Google wenyewe wana tools kibao za kujua wizi wa kazi na kwa asilimia ngapi.Nyuo vikuu vingi duniani navyo vimenunua software za kudaka wezi wa kazi za watu.
 
Sasa umekuja changia nini hapa,kama hujui hata unachotetea na njia ya kufikia unayotaka tuambia? Ndio unavyokwenda katika mikutano ya kimataifa ukiwa upo shallow hivyo?ndio maana huwa mkija mnadai kubaguliwa.Sasa mkaze makalio hata hapa nchini,watu wanaanza hoji hapo mlipo mlifikaje na nini mnafanya.Kama wewe unaamini kuna sehemu zipo na umeshatembelea,kwanini usiseme zinapatikana hapa na hapa.Hiii ni shida kifikra kwa hii nchi.
Watu wenye mitazamo, fikra na mawazo hasi, mara nyingi uwa na matatizo makubwa katika suruhisho la matatizo yao. Kama kweli wewe unamjua mtu mwenye PHD au PRO, si unamuuliza yeye moja kwa moja kuwa SHAHADA yake inapatikana wapi na ameipata wapi?? Kwa 100% yeye ndiye mwenye majibu ya swali lako. Sasa unapokuja kwenye MITANDAO YA KIJAMII kuulizia mambo ya PHD ambapo hutegemei kupata majibu ya moja kwa moja wakati wenye PHD wanajulikana na unashindwa kwenda ofisini kwao kuwauliza, wewe ni mtu wa aina gani?? RESEARCH FINDINGS mara nyingi RESEARCHER anaenda kumuhoji mlengwa ili kupata majibu. Hii mitandao ya kijamii nyinyi hamuitumii kwa mambo yenye faida, badala yake mnaitumia kwa mambo yasiyo na faida na ushabiki tu au kupotoshana. KAZI NI NDOGO TU. Kesho ni IJUMAA, jaribu kwenda pale UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM, anza kuulizia kuhusu PHD na taaluma nyingine za watu unaowafahamu waliosomea hapo, utapewa majibu unayoyataka. Siyo kutoa tu matusi ndugu yangu.
 
Watu wenye mitazamo, fikra na mawazo hasi, mara nyingi uwa na matatizo makubwa katika suruhisho la matatizo yao. Kama kweli wewe unamjua mtu mwenye PHD au PRO, si unamuuliza yeye moja kwa moja kuwa SHAHADA yake inapatikana wapi na ameipata wapi?? Kwa 100% yeye ndiye mwenye majibu ya swali lako. Sasa unapokuja kwenye MITANDAO YA KIJAMII kuulizia mambo ya PHD ambapo hutegemei kupata majibu ya moja kwa moja wakati wenye PHD wanajulikana na unashindwa kwenda ofisini kwao kuwauliza, wewe ni mtu wa aina gani?? RESEARCH FINDINGS mara nyingi RESEARCHER anaenda kumuhoji mlengwa ili kupata majibu. Hii mitandao ya kijamii nyinyi hamuitumii kwa mambo yenye faida, badala yake mnaitumia kwa mambo yasiyo na faida na ushabiki tu au kupotoshana. KAZI NI NDOGO TU. Kesho ni IJUMAA, jaribu kwenda pale UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM, anza kuulizia kuhusu PHD na taaluma nyingine za watu unaowafahamu waliosomea hapo, utapewa majibu unayoyataka. Siyo kutoa tu matusi ndugu yangu.
Useless comment. Unajijibu mwenyewe halafu huwezi translate. Sasa km unajua hapa napata watu wengi.Kuliko kwenda tafuta matatizo na watu wenye ego problems. wengine hata wanafunzi wao tuu wakiwauliza maswali wanakuwa na jazba,ndio mimi waanze niambia nikatafute kibali, sijui naenda tumia hizo taarifa kwanini? In fact pia hii ni njia rahisi na cheap.Pia ni njia inayojaribu kuona how pro active these guys are are.Wewe mwenyewe umekuta na maelekezo ya kuondoka ktk problem circle.Mkuu lichoandika hapa ni kipimo cha uwezo wenu kufikiri.
 
Useless comment. Unajijibu mwenyewe halafu huwezi translate. Sasa km unajua hapa napata watu wengi.Kuliko kwenda tafuta matatizo na watu wenye ego problems. wengine hata wanafunzi wao tuu wakiwauliza maswali wanakuwa na jazba,ndio mimi waanze niambia nikatafute kibali, sijui naenda tumia hizo taarifa kwanini? In fact pia hii ni njia rahisi na cheap.Pia ni njia inayojaribu kuona how pro active these guys are are.Wewe mwenyewe umekuta na maelekezo ya kuondoka ktk problem circle.Mkuu lichoandika hapa ni kipimo cha uwezo wenu kufikiri.
Wewe endelea kuhangaikia porojo zako humu kwenye mitandao ya kijamii. Kama kweli humu kuna active guys, je, hadi sasa umeshapata majibu sahihi ya swali lako?? Naona wewe ni walewale wanasiasa chipukizi wa mitandaoni. Kwa kuwa haujui gharama ya kufanya tafiti, basi endelea kutafuta hapa jamiiforum.
 
Wewe endelea kuhangaikia porojo zako humu kwenye mitandao ya kijamii. Kama kweli humu kuna active guys, je, hadi sasa umeshapata majibu sahihi ya swali lako?? Naona wewe ni walewale wanasiasa chipukizi wa mitandaoni. Kwa kuwa haujui gharama ya kufanya tafiti, basi endelea kutafuta hapa jamiiforum.

Wewe ndio hujui gharama , na ulichoongea hapo juu ulikuwa clueless katika issue ya gharama na efficiency. Kama kwenu wanasiasa chipukizi ndio wanatumia mitandao kufanya tafiti,inaonyesha jinsi gani watoto wa kijamaa na baba zao walivyo abusive linapokuja suala la technologia. Kwa taarifa yako google, facebook etc wanafanya tafiti nyingi sana katika hiyo mitandao ambazo ni very useful, na sasa wanaiona dunia katika kila angle waipendayo.Kama wewe hapa umejiachia sana , hakuna mahali ningeweza kujua sana kama hapa. Kama ulikuwa cost conscious usingenipa option ya kipuuzi.Kama ni quality ya data, bado kuwafuata hao wapuuzi halafu waniawaambie niwaandalie maswali ili wakajiandae wangekuja na majibu hata mengine ya mabepari huku wao wanajiita wajamaa. Majamaa ni majinga kweli kweli.
 
Wewe endelea kuhangaikia porojo zako humu kwenye mitandao ya kijamii. Kama kweli humu kuna active guys, je, hadi sasa umeshapata majibu sahihi ya swali lako?? Naona wewe ni walewale wanasiasa chipukizi wa mitandaoni. Kwa kuwa haujui gharama ya kufanya tafiti, basi endelea kutafuta hapa jamiiforum.

Wewe ndio hujui gharama , na ulichoongea hapo juu ulikuwa clueless katika issue ya gharama na efficiency. Kama kwenu wanasiasa chipukizi ndio wanatumia mitandao kufanya tafiti,inaonyesha jinsi gani watoto wa kijamaa na baba zao walivyo abusive linapokuja suala la technologia. Kwa taarifa yako google, facebook etc wanafanya tafiti nyingi sana katika hiyo mitandao ambazo ni very useful, na sasa wanaiona dunia katika kila angle waipendayo.Kama wewe hapa umejiachia sana , hakuna mahali ningeweza kujua sana kama hapa. Kama ulikuwa cost conscious usingenipa option ya kipuuzi.Kama ni quality ya data, bado kuwafuata hao wapuuzi halafu waniawaambie niwaandalie maswali ili wakajiandae wangekuja na majibu hata mengine ya mabepari huku wao wanajiita wajamaa. Majamaa ni majinga kweli kweli.
 
Napat ahasira wanapokuja wapuuzi na hoja nyepesinyepesi na kuondoka bila kuaga.
 
What a good analysis! That's actually what happens in the academic world, Tanzania inclusive.
Umepotea mkuu katika hii thread. Pamoja na hiyo inaitwa good analysis.Mimi naweza kuita sio good enough. Hao wasomi ni weupe sana katik akupanga kitu vivid and concrete.Kwa hiyo analysis yoyote isiyo na maelezo shida zipo wapi ni longo longo tuu.
 
Umepotea mkuu katika hii thread. Pamoja na hiyo inaitwa good analysis.Mimi naweza kuita sio good enough. Hao wasomi ni weupe sana katik akupanga kitu vivid and concrete.Kwa hiyo analysis yoyote isiyo na maelezo shida zipo wapi ni longo longo tuu.
Aisee mkuu unazengua sana.. Nmefuatilia comment zako lakn zote nmeona n upuuz mtupu.. Yawezekana n nyie wala bangi wa ufipan. Next tym kama unataka kujifunza issue za research.., usilete siasa.. Hapo ndo ulipo potoka. Hukua na Nia ya kujifunza icpokua umekuja kukashifu wasom wetu. Na hil taifa linateketea kwa sababu na kuwa na Vijana bumbumbu kama ww..any way nmepta kuona lakn nmeumia kuona kijana kumdharau PhD holders wetu kwa sababu ya siasa uchwara za tanzania..
 
Back
Top Bottom