Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,852
- 831,131
Ni watu wawili tofauti kabisa kuanzia asili mpaka jinsia bila kusahau habari zao.. Labda kinachowakutanisha ni ule uthubutu wa kufunua ya sirini juu ya serikali zao... Lakini Snowden kampiku Mange yeye sio serikali yake tu bali serikali mbalimbali duniani... Huyu ni mdukuzi wa kimataifa, mjanja mwerevu na mchawi wa software.... Nywila gani imshinde Snowden? Kama kaziweza za marekani zile ambazo ni very sensitive atashindwa na ipi?
Snowden ni kitisho hasa kwa serikali ya nchi yake.... Kuna baadhi ya mambo hubaki kuwa siri za nchi na kuyatoa nje kabla ya muda wake kuwadia ni hatari sana.. Snowden anafurahiwa na mataifa adui wa marekani.... ANATOA SIRI ZA NCHI... hapa kuna kukosa uzalendo wa aina fulani... Hata kama jambo ni baya lakini kama linamaanisha kuilinda nchi kukaa kimya pia ni jambo la busara kuliko kupayuka.....!!!
Mange Kimambi mdogo wangu huyu... Sometimes ni kama chizi mropokaji lakini ana uthubutu ambao wengi hawana.... Wakosoaji aina yake wapo popote duniani na ni muhimu kuwa na watu wa kaliba yake.... Anakufanya uwe makini zaidi na utende kwa weledi zaidi.... Lakini tofauti na Snowden Mange habari zake sio za udukuzi bali na za kupewa na watanzania wenyewe walioko kwenye nafasi ya kuzipata habari husika.... Mange hana makosa analetewa HADUKUI.. HANA UWEZO HUO....!!!!
Sifurahishwi na baadhi ya post zake, zingine zina utoto mwingi, na baadhi ni mambo ya kike kuzodoana na kutambiana, kusemana vibaya na kutukanana... Lakini ukiondoa hayo makandokando kuna vitu makini anatuma japo naye anapelekewa.....
Ni aibu kwa serikali kuacha mambo muhimu na kuanza kuhangaika na mkosoaji wa mitandaoni... Ni aibu kwakuwa kama serikali ni safi basi haiwezi kuchafuliwa na post za kimbeambea... Ukiona serikali inaaza kuhangaika na kufanya figisu nyingi ili kummaliza Mange jua kuna kitu si bure... Kuna mambo yasiyo na faida kwa Taifa yanajaribu kufichwa.. Kuna kaliba inalindwa isiyo na faida yoyote kwa Taifa.....!!!
Watende kwa weledi, makosa yapo hatukatai... Hakuna mkamilifu hata mmoja akiwemo Mange mwenyewe lakini kutumia nguvu nyingi kuhangaika naye ni ishara tosha kuwa yuko sahihi na kuna tatizo kubwa mahali
Snowden ni kitisho hasa kwa serikali ya nchi yake.... Kuna baadhi ya mambo hubaki kuwa siri za nchi na kuyatoa nje kabla ya muda wake kuwadia ni hatari sana.. Snowden anafurahiwa na mataifa adui wa marekani.... ANATOA SIRI ZA NCHI... hapa kuna kukosa uzalendo wa aina fulani... Hata kama jambo ni baya lakini kama linamaanisha kuilinda nchi kukaa kimya pia ni jambo la busara kuliko kupayuka.....!!!
Mange Kimambi mdogo wangu huyu... Sometimes ni kama chizi mropokaji lakini ana uthubutu ambao wengi hawana.... Wakosoaji aina yake wapo popote duniani na ni muhimu kuwa na watu wa kaliba yake.... Anakufanya uwe makini zaidi na utende kwa weledi zaidi.... Lakini tofauti na Snowden Mange habari zake sio za udukuzi bali na za kupewa na watanzania wenyewe walioko kwenye nafasi ya kuzipata habari husika.... Mange hana makosa analetewa HADUKUI.. HANA UWEZO HUO....!!!!
Sifurahishwi na baadhi ya post zake, zingine zina utoto mwingi, na baadhi ni mambo ya kike kuzodoana na kutambiana, kusemana vibaya na kutukanana... Lakini ukiondoa hayo makandokando kuna vitu makini anatuma japo naye anapelekewa.....
Ni aibu kwa serikali kuacha mambo muhimu na kuanza kuhangaika na mkosoaji wa mitandaoni... Ni aibu kwakuwa kama serikali ni safi basi haiwezi kuchafuliwa na post za kimbeambea... Ukiona serikali inaaza kuhangaika na kufanya figisu nyingi ili kummaliza Mange jua kuna kitu si bure... Kuna mambo yasiyo na faida kwa Taifa yanajaribu kufichwa.. Kuna kaliba inalindwa isiyo na faida yoyote kwa Taifa.....!!!
Watende kwa weledi, makosa yapo hatukatai... Hakuna mkamilifu hata mmoja akiwemo Mange mwenyewe lakini kutumia nguvu nyingi kuhangaika naye ni ishara tosha kuwa yuko sahihi na kuna tatizo kubwa mahali