Biblia inasema alifanya na mungu. Ndio maana yesu anaitwa mwana wa mungu.Mimba: If it is what you say it is, mama yake yesu alifanya na nani?
Kweli? Mbona Mama yake Yesu hakufanya?Kutokea wapi na yanatengenezwaje ni maswali mawili tofauti.
Ni sawa na kuuliza maziwa ya ng'ombe yanatokea wapi...
Teh good tryPale ambapo goblet cells ndan ya pua znapo over secret mucous...
Alifanya na munguKweli? Mbona Mama yake Yesu hakufanya?
Wakuu poleni ma majukum kwa wale ambao tayari mnamajukum!! Nimekuwa nikijiuliza hili swali maana nakumbuka hapo zamani niliwahi kumuuliza mama hua makamasi yanatoka wapi akaniambia hua ni uchafu unatoka kwenye ubongo sasa mimi nikajiuliza kama ni kweli kuna wakati unakuwa nayo kwa mda hata wa mwezi mzima sasa huo ubongo si utayeyuka kama ni kweli yanatoka kwenye ubongo!!sory kwa uzi huu najua wapo niliowakaza!!naomba kujuzwa hua yanatokana na nini au yanatoka wapi!!!
Biblia inasema alifanya na mungu. Ndio maana yesu anaitwa mwana wa mungu.
NOTE: Hapo huu inabidi utofautishe kati ya mungu na Mungu pale unapojifarangua kwamba unajua kumbe hujui, unajifanya Much know know kumbe ni maji kwenye viweko, wanaojua wanabaki kuuona.....wako.