structuralist
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,230
- 909
Wakuu adhani wengi wetu tumekuwa tukishuhudia kesi nyingi zikifunguliwa Mahakama ya kisutu.
Kila wakati unasikia kesi iwe ya kisiasa au vinginevyo hasa inapohusisha watu "maarufu" lazima ifunguliwe Mahakama ya kisutu.
Naomba kujuzwa hivi hakuna Mahaska zingine Dar es Salam zenyewe uwezo wakusikiliza hizo kesi?
Hivi mawakili,karani nk wa Maha kama hiyo si wanazidiwa na kazi? Na je wale wa Mahakama zingine wanapumzika sana au inakuwaje? Tusaidiane hapo wasau.
Kila wakati unasikia kesi iwe ya kisiasa au vinginevyo hasa inapohusisha watu "maarufu" lazima ifunguliwe Mahakama ya kisutu.
Naomba kujuzwa hivi hakuna Mahaska zingine Dar es Salam zenyewe uwezo wakusikiliza hizo kesi?
Hivi mawakili,karani nk wa Maha kama hiyo si wanazidiwa na kazi? Na je wale wa Mahakama zingine wanapumzika sana au inakuwaje? Tusaidiane hapo wasau.