Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Wakuu,
Leo ni zamu ya madereva kuwa kwenye kiti cha moto.
Medereva mnakwaza sana kwenye kipengele hiki. Mtu anaweza kukaa muda mrefu kwenye alama za kuvukia (zebra crossing) huku wenye vyombo vyao wanapita tu utafikiri hawaoni mtu. Tena ukiwa peke yako ndio kipengele zaidi, utakaa hapo labda mpaka upate ujasiri wa kujitanguliza kidogo ndio magari yanasimama au mpaka aje askari kusimamisha magari.
Mpaka atokee dereva anayefuata sheria na kujielewa ujajikuta umekaa muda mrefu bila sababu za msingi.
Madereva wenye tabia hii mjirekebishe, fuata sheria mambo yanyooke kweye mstari. Kuna akina sisi tunavuka kwenye zebra tu na hatuwezi hata kutanguliza kichwa mpaka gari zisimame, msitufanyie hivyo.
Leo ni zamu ya madereva kuwa kwenye kiti cha moto.
Medereva mnakwaza sana kwenye kipengele hiki. Mtu anaweza kukaa muda mrefu kwenye alama za kuvukia (zebra crossing) huku wenye vyombo vyao wanapita tu utafikiri hawaoni mtu. Tena ukiwa peke yako ndio kipengele zaidi, utakaa hapo labda mpaka upate ujasiri wa kujitanguliza kidogo ndio magari yanasimama au mpaka aje askari kusimamisha magari.
Mpaka atokee dereva anayefuata sheria na kujielewa ujajikuta umekaa muda mrefu bila sababu za msingi.
Madereva wenye tabia hii mjirekebishe, fuata sheria mambo yanyooke kweye mstari. Kuna akina sisi tunavuka kwenye zebra tu na hatuwezi hata kutanguliza kichwa mpaka gari zisimame, msitufanyie hivyo.