Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,799
- 225,566
Yaani acha tu, umeandika kama umewahi kupitia hii misukosukoMadaktari ni binadamu na kila mmoja ana uelewa wake anapokuwa Darasani.
Siyo kila daktari anajua, wengine ni vilaza tu.
Ila tatizo kubwa kwetu kama watanzania ni ugumu wa kukiri jambo fulani silijui au nimeshindwa.
Hali hii imesababisha wagonjwa wengi kufariki au kutafutiwa matibabu sahihi when it's too late.
Yaani unakuta mtumishi wa afya huko zahanati badala ya kumfanyia referral mgonjwa ambaye anaona kabisa ameshashindwa, lakini anajifanya yuko nondo, mwishowe anakuja kumfanyia referral mgonjwa akiwa kwenye hali tete.
Na hali hii siyo kwa madaktari pekee, ni karibia sekta nzima ya afya. Maabara ndio kabisa, yale maparasites wanaoyakariri huwa ni wachache sana.
Wajanja huwa wanafanya team up ikionekana hawaelewi elewi.
Unaweza kuambiwa una ugonjwa fulani kumbe siyo.
Ukiona unatibiwa hupati unafuu ujue kabisa you're treating the wrong case.
Fanya vipimo maabara hata 5 ili uwe na uhakika.
Na madaktari walivyo, unakuta mtu kakariri tu cases ambazo ni common eneo husika kama Maralia, Typhoid, UTI,
Ikitokea rare disease tayari anakuwa hajui chochote cha kufanya. Ndio maana unakuta mtu ana dengue fever kawa diagnosed ana Maralia.
Mpaka ihe kujulikana haikuwa Maralia it's too late.
Ww naye ni wale wale bila shakaUmepima vipimo vingapi?
Kwani lazima uwe na ugonjwa?
Sometimes ni mabadiliko tu ya hali ya hewa.
Narudia tena acha kutetea upumbavu.Sitetei ujinga mkuu.
Hizo case hutokea Mara chache hata Mimi imewahi nitokea daktari alikosea kung'oa jino..akang'oa lisilo na tatizo lenye tatizo likaachwa..lakini huyo ni daktari bingwa anayewang'oa watu vizuri miaka na miaka..daktari ni binadamu pia,hayupo perfect muda wote.
Madaktari ni binadamu na kila mmoja ana uelewa wake anapokuwa Darasani.
Siyo kila daktari anajua, wengine ni vilaza tu.
Ila tatizo kubwa kwetu kama watanzania ni ugumu wa kukiri jambo fulani silijui au nimeshindwa.
Hali hii imesababisha wagonjwa wengi kufariki au kutafutiwa matibabu sahihi when it's too late.
Yaani unakuta mtumishi wa afya huko zahanati badala ya kumfanyia referral mgonjwa ambaye anaona kabisa ameshashindwa, lakini anajifanya yuko nondo, mwishowe anakuja kumfanyia referral mgonjwa akiwa kwenye hali tete.
Na hali hii siyo kwa madaktari pekee, ni karibia sekta nzima ya afya. Maabara ndio kabisa, yale maparasites wanaoyakariri huwa ni wachache sana.
Wajanja huwa wanafanya team up ikionekana hawaelewi elewi.
Unaweza kuambiwa una ugonjwa fulani kumbe siyo.
Ukiona unatibiwa hupati unafuu ujue kabisa you're treating the wrong case.
Fanya vipimo maabara hata 5 ili uwe na uhakika.
Na madaktari walivyo, unakuta mtu kakariri tu cases ambazo ni common eneo husika kama Maralia, Typhoid, UTI,
Ikitokea rare disease tayari anakuwa hajui chochote cha kufanya. Ndio maana unakuta mtu ana dengue fever kawa diagnosed ana Maralia.
Mpaka ihe kujulikana haikuwa Maralia it's too late.
Hata mimi siku hizi uwa nikipata tatizo ninaanzia google au hata nikienda hospital nikiambiwa kitu narudi pia google kujisomeaUpo sawa sawa nishapigwa wrong treatments mara nyingi sana nikaja kugundua ninachoumwa google huko, hapo nishapigwa pesa almost miezi 9 halafu siponi.
Duh ni hatari kwakweliDah. Yani kuna shida kubwa sana kwenye idara ya afya. Dada yangu alikua akilalamika sana maumivu ya tumbo..
Nikamshauri aende kwenye vipimo
vya ultrasound, sasa alivyoenda kwa maelezo yake , yule aliyekuwa anamchukua video alimchukua muda mrefu sana akawa anasema mbona kila kitu kipo sawa.
Sasa kwenda kwa daktari, anamwambia eti umeonekana una maji kwenye kizazi inabidi ulipie dawa za 70,000 ukatumie.
Sasa alivyoniletea taarifa mimi nikashangaa, inakuaje mchukua video asione kitu halafu doctor aseme una maji kwenye kizazi.
Mwisho wa siku, tuliongea na dr mwingine akamshauri sister aache kutumia vidonge vya majira. Mpaka leo miaka 3 sister hajawahi kulalamika tena. Kumbe yule Dr alitaka kutulia 70,000 zetu.
Wewe hujawahi kupitiwa tangu umezaliwa?Narudia tena acha kutetea upumbavu.
Naona umeanza ramli Sasa.Ww naye ni wale wale bila shaka
Umeongea Cha maana Sana, elimu yetu ni ya kukariri hata waliotufundisha walikaririshwaUsomaji wetu ni shida eti unapewa picha ya tatizo hata haina muonekano mzuri afu unaambiwa huyo sijui ni parasite gani wakati picha inaonesha ukungu tu,mwisho wa siku tunaishia kukariri
Huyo ni mpiga ramliWw naye ni wale wale bila shaka
Sawa mpiga ramli mwenzanguHuyo ni mpiga ramli