Hivi Madaktari wetu huwa wanashindwa kutafsiri matokeo ya vipimo?

Ukiambiwa hauumwi,inabid utafute hospital ambayo iko bora zaidi.
Kuna watu tulishaambiwa kuwa hatuna ugonjwa,tukahis tumerogwa kwenda kwa sangoma hakuna nafuu iliyopatikana tatizo ilikuwa n macho baadae tukarudi hospital kubwa yenye vifaa vya uhakika,ikagundulika mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye macho n kama imeziba lakin tayari tulikuwa tumeshachelewa
Daah aisee...nampango niende Bugando
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom