Amazon Woman
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 762
- 1,120
Daah aisee...nampango niende BugandoUkiambiwa hauumwi,inabid utafute hospital ambayo iko bora zaidi.
Kuna watu tulishaambiwa kuwa hatuna ugonjwa,tukahis tumerogwa kwenda kwa sangoma hakuna nafuu iliyopatikana tatizo ilikuwa n macho baadae tukarudi hospital kubwa yenye vifaa vya uhakika,ikagundulika mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye macho n kama imeziba lakin tayari tulikuwa tumeshachelewa