kambagasa
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 2,241
- 1,749
Uvumilivu muda mwingine ni kielelezo cha udhaifu,mimi ndugu kabla ya yote naomba kueleweshwa tu kuwa hivi Maalimu Seifu wa CUF akipata jaji na akaapishwa uraisi rasmi wa Zanzibar pana tatizo gani? ukizigatia kila mtu anafahamu mshindi halali ni Maalim.