Hivi love bite inawekwaje?

Hivi love bite inawekwaje?

Ntakuja kivingine....sijaridhika na hukumu nakuja na kamzizi sukari mahaba nikikatafuna tu hukunamwaga sera lazima karanga zionjwe..

Ha ha ha ha hapo hanma mzizi nimemwaga sumu ya hatari
 
Sikia mkuu ebu nipe mbinu we ulifanyaje? sio unicheke bila msaada na ujue mi mwanaume mwenzio...afu ujue mi ndio ntakuzika afu haya mambo ni kupita tu, afu unajua kani PM makubwa kukuhusu..afu afu afu mengine nimesahau

Umbea kumbe nayo kazi dah... mamaafacebook
ha ha ha ha hapo hanma mzizi nimemwaga sumu ya hatari
 
Last edited by a moderator:
Love bite ni vitafunwa vinaweza kuliwa na chai,uji,juice,hata soda pia unaweza kutumia
 
Sikia mkuu ebu nipe mbinu we ulifanyaje? sio unicheke bila msaada na ujue mi mwanaume mwenzio...afu ujue mi ndio ntakuzika afu haya mambo ni kupita tu, afu unajua kani PM makubwa kukuhusu..afu afu afu mengine nimesahau

Umbea kumbe nayo kazi dah... mamaafacebook

Lol utasutwa hakuambii chochote huyo
 
Last edited by a moderator:
Kweli ndio maana CCM wanatawala kirahisi hii nchi... Yaani mtu badala ya kuuliza ni biashara gani au wajikite sector gani ili waweze kupata maendeleo kwa ajili yao na vizazi vyao mtu anawaza jinsi ya kumsuarez mwenzie
 
shule za boarding ndo ilikuwa diliiii la kujua nani kagegedwa vizuri...
 
Back
Top Bottom