kama mkeo mweusiiiii kama masai dada hata ungate ulimi haitokei love bite
mi nishangwatwa hadi kidonda ila kikapona na HAKIKUACHA ALAMA
Huyo mtu wako atakuwa ana ngozi ya mamba
Mie natamani kujua jinsi ya kumpatia mwenza love bite lakini kila nikimng'ata sioni chochote au anatakiwa ang'atwe hadi dam itoke? Nijuzeni jamani
Umenifanya nimkumbuke Wangu wa maisha mwanzoni mwa ndoa ilikua nikiaga nakwenda kutembelea wazazi, basi hiyo show Yake love bite nashinda na ushungi.....
Love bite kwa mweupe akinyonywa sana itatokea, ,na haibaki milele itFutika tu
kama mkeo mweusiiiii kama masai dada hata ungate ulimi haitokei love bite
mi nishangwatwa hadi kidonda ila kikapona na HAKIKUACHA ALAMA
ng'ata haswa... unalamba unasema umeng'ata!!?
Inakuaje iyo kitu jamani tupeni formula.
Mie natamani kujua jinsi ya kumpatia mwenza love bite lakini kila nikimng'ata sioni chochote au anatakiwa ang'atwe hadi dam itoke? Nijuzeni jamani
Hizi Cc vitisho vya nyau kwa mtu mzima.... kikaranga hata kimoja tu cha kuonja..aya bana baki nazo :A S cry:
:becky::becky::becky::becky::mimba::mimba::mimba::confused2::confused2::confused2: