Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Eti umesemaje??Ng'ata hadi itoke damu...
Hapo ndipo utaiona love bite
Eti umesemaje??Ng'ata hadi itoke damu...
Hapo ndipo utaiona love bite
kama mkeo mweusiiiii kama masai dada hata ungate ulimi haitokei love bite
mi nishangwatwa hadi kidonda ila kikapona na HAKIKUACHA ALAMA
Mnunulie alichokua hana.............Cheni anayo tayari
Nimecheka kweli, pole vp hukutaka kujaribu tena
Nimekukubali sana kwa msimamo malkia
Eti umesemaje??
Nimekukubali sana kwa msimamo malkia
Ntakuja kivingine....sijaridhika na hukumu nakuja na kamzizi sukari mahaba nikikatafuna tu hukunamwaga sera lazima karanga zionjwe..
Ahhha na labda ujaribu hivyo ila sidhan asee kama utafanikiwa maana dah sitaj kusema
Ahhhha sidhani. Me n yy kama pete na kidole kuachana kwetu mwiko until death do us apartMachozi yangu huwa haya toki bure sr b ajiandae mapinduzi ya mchana kweupe