no Kaizer katika hao walioniuliza maswali hayo hakuna aliyenitongoza make me huwa serious nkikutana na issue kama hyo. pia huwa nawahi kuwatambua km anataka ku-develop interest kwangu. akikutana na ndita obvious hawezi nieleza ujinga make kutongozwa hovyo hutokana na the way mtu anavyoji-keep. kimaongezi na hata kimavazi na mazoea pia!
Nadhani ni maswali ambayo ni 'rhetorical'...yaan tumeyazoea japo hayamaanishi kiviile..
Ni sawa kama zamani mgeni akitoka kijijini swali lilikuwa ..'vipi mvua zinanyesha'?..tulikuwa hatujiulizi kipindi!
..na hata ukiolewa watakuuliza..'vipi mna watoto wangapi vile'?
Mkizaa m1 na mkakaa muda mrefu bila kuzaa watakuuliza..'bado mna m1 tu'?
..Inabidi kuzoea..
umri dada...mrembo kwanini usiolewe ingawa maamuzi unayo wewe busara za wazee pia zinahitajika!!
Lol! Umenichekesha!
Aisee nna kakangu kimeo hivi, naomba nikupambanishe nae. Manake nae anaulizwa hadi anataka kurusha ngumi. He is good looking, settled lakini anaulizwa maswali hadi na watu aliowazidi 20 years ya umri.
Its upsetting, but the best way ya kujibu swali hilo ni kumuambia akuoe mke wa pili or else akupe kijana wake!
Mmmmmmmmh
hapo kuna mambo mawilirutta mbona unaguna mkuu, tupia neno!
hapo kuna mambo mawili
1: Inawezekana huyo baba ana kutaka!
2: Inawezekana huyo mzee ana kijana wake na ameona wewe unamfaa!
hili swali huwa linanikera sana najua majibu ninayowapaga.Ye sio baba yangu wala hajui magumu niliyopitia anauliza.mbona wale wanaojua mbivu na mbichi za maisha yangu hawaulizi?Eti ukiwa 30 umechoka nani kakwambia inategemea kama unatumika sana am aged and stlii chich mpaka viserengeti vinaleta proposal.life is whatt you make it bwana.nikiangalia mabinti nliwazidi miaka 8 wengi wamechuja.
hebu nipm no.yake. teh teh. . . ukimwambia akuoe mke wa pili afu akikubali je. kha nani ataka mambo ya ukewenza!