Hivi kweli nitapata wa kumuoa?

Hivi kweli nitapata wa kumuoa?

SAKA pesa tuu..wanakuja tuu ukiwa nazoo..na nwdays wengi sana wapo tayar kuolewa hali ni tete huku kitaaa
 
Mimi nina kila aina ya sifa ambayo hakuna mwanamke anaipenda muhuni, mkorofi, mgomvi nisiejali na nyingine mbaya tuu nauliza hivi kuna mwanamke wa aina hiyo au asie wa aina hiyo angependa nimuoe.

Natafuta wa kuoa Iam very honesty lakini labda hicho tu ndo maana hata nimeweza kukiri tabia zangu mbovu mbovu.
Utapata tu mkuu, tena wadada ndo haswa wanapenda watu wa aina yakoo, la msingi ongeza na kutafuta pesa ndo utaona matokeo yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom