ni lazima ndioKwani kuoa lazima?
well saidwe tafta mtoto mambo yakuoa sio lazima.kuhusu uhuni,usiishi jinsi mtu anavyopenda ishi jinsi unavyopenda kuishi
Sent using Jamii Forums mobile app
safi..very trueKila shetani na mbuyu wake
Utapata anae Ku suits
invest what you are willing to lose
hahahaha kumbe ni mtego huu...atakaenasa shauri yakoYaani we hujui tu.... Hizo Ndo sifa wanawake wengi wa siku hizi wanapenda.( sio wote). Mi nina wasiwasi wewe Unajua hili.. Wala hizi sifa huna... Umeeka mtego ili upate manzi kiulaini. Watu wajanja siku hizi![]()
sina stress mkuu niko poa ni tabia toka utotoHizo ni stress tu mkuu, ukipata ua mbona utakua mpole kama
Kumbe unafanya makusudi unajijua kwanini usijizuie kufanya hivyo na kama unashindwa kujizuia basi unamapepo.Mimi nina kila aian ya sifa ambayo hakuna mwanamke anaipenda muhuni..mkorofi, mgomvi nisiejali...na nyingine mbaya tuu nauliza hivi kuna mwanamke wa aina hiyo au asie wa aina hiyo angependa nimuoe natafuta wa kuoa..am very honesty lakin labda hicho tu ndo maana hata nimeweza kukiri tabia zangu mbovu mbovu.
mapepo ni nin?Kumbe unafanya makusudi unajijua kwanini usijizuie kufanya hivyo na kama unashindwa kujizuia basi unamapepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha sidhani...unapenda kupigwa wewe au kukoromewaa?We sasa ndio husband material
maybe..maybe not.
Amini nakuambia wewe ni husband materialhahaha sidhani...unapenda kupigwa wewe au kukoromewaa?
hahaha siwezekani...kweliii nakwambia...Amini nakuambia wewe ni husband material
Soon tutakugombania hapa
many times