Hivi kweli nitapata wa kumuoa?

Hivi kweli nitapata wa kumuoa?

great G

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2016
Posts
290
Reaction score
290
Mimi nina kila aina ya sifa ambayo hakuna mwanamke anaipenda muhuni, mkorofi, mgomvi nisiejali na nyingine mbaya tuu nauliza hivi kuna mwanamke wa aina hiyo au asie wa aina hiyo angependa nimuoe.

Natafuta wa kuoa Iam very honesty lakini labda hicho tu ndo maana hata nimeweza kukiri tabia zangu mbovu mbovu.
 
Mimi nina kila aian ya sifa ambayo hakuna mwanamke anaipenda muhuni..mkorofi, mgomvi nisiejali...na nyingine mbaya tuu nauliza hivi kuna mwanamke wa aina hiyo au asie wa aina hiyo angependa nimuoe natafuta wa kuoa..am very honesty lakin labda hicho tu ndo maana hata nimeweza kukiri tabia zangu mbovu mbovu.
Yaani we hujui tu.... Hizo Ndo sifa wanawake wengi wa siku hizi wanapenda.( sio wote). Mi nina wasiwasi wewe Unajua hili.. Wala hizi sifa huna... Umeeka mtego ili upate manzi kiulaini. Watu wajanja siku hizi
 
Mimi nina kila aian ya sifa ambayo hakuna mwanamke anaipenda muhuni..mkorofi, mgomvi nisiejali...na nyingine mbaya tuu nauliza hivi kuna mwanamke wa aina hiyo au asie wa aina hiyo angependa nimuoe natafuta wa kuoa..am very honesty lakin labda hicho tu ndo maana hata nimeweza kukiri tabia zangu mbovu mbovu.
Hizo sifa unazo moyoni hiwezi kuzionyesha ukiwa na mahusiano. Show..
 
Kila shetani na mbuyu wake

Utapata anae Ku suits

invest what you are willing to lose
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom