Hivi kweli matibabu kwa Hospital za Serikali ni bure?

samalanga

JF-Expert Member
Aug 3, 2009
336
244
Leo nimeenda Hospital mmoja ya mkoa nimefika pale,nikaulizwa Nina bima ni kasema hapana sasa gharama ni kama ifuatavyo;
1.Kufungua faili -2,500/=
2.Kumuona dakitari-10,000/=
3.X-Ray-15,000/=
4.Mazoezi ya viungo-10,000/=
5.dawa vidonge 14,-7,000/=
6.dawa tubu 1,-7000/=
Je hali hii ndiyo kuchangia matibabu au kulipia matibabu? Tofauti ya private na serikali ipo wapi? Maoni tafadhari.
 
Leo nimeenda Hospital mmoja ya mkoa nimefika pale,nikaulizwa Nina bima ni kasema hapana sasa gharama ni kama ifuatavyo;
1.Kufungua faili -2,500/=
2.Kumuona dakitari-10,000/=
3.X-Ray-15,000/=
4.Mazoezi ya viungo-10,000/=
5.dawa vidonge 14,-7,000/=
6.dawa tubu 1,-7000/=
Je hali hii ndiyo kuchangia matibabu au kulipia matibabu? Tofauti ya private na serikali ipo wapi? Maoni tafadhari.
Bure kama una bima, tena naona ni cheapest kufungua file 2500, muongozo mpya ni 5000
 
Hiyo bure kuna sehemu ulisikia au ni maoni, swali au nini hiki mkuu...
Kama huna bima malipo ni palepale
 
Back
Top Bottom