Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,107
- 9,214
Mkuu mbna hilo linajulikana Magufuli ikulu asubuh
maghufuli oyeeeeeeeee
Kweli mkuu hapa kazi tuu! Magufuli unafaa!!!watanzania hatugawanywi na ukabila kama kenya. hapa kazi tu
Asante kwa hekima yako ndugu. Kwa maana inasemwa no research no right to speak!Anamtanguliza Mungu!!!!!?
Hivi unamjua Magufuli wewe au unamsikia tu?Ngoja tunaofahamu mambo tukae kimya kwani sisi wengine hatuwezi kuanika mambo na imani za watu kutokana na kampeni.
Kwa hela.waliyotumia.lazima ashinde maNa akishindwa chama kitafilisiwa
kwani mahufuli ni nan katka nchi hii au ni malaika???mlizoea mwaka Huu mtalia na kusaza meno kenge nyie
Lowassa ndio raise wako
kwani mahufuli ni nan katka nchi hii au ni malaika???mlizoea mwaka Huu mtalia na kusaza meno kenge nyie
Lowassa ndio raise wako
kweli asubuhi ikitanguliwa na alfajiri. Usikose kunipa lift kwenda kushiriki sherehe za kuapishwa kwa dr. Magufuli.mkuu mbna hilo linajulikana magufuli ikulu asubuh
bye bye ccm
vkongwe ndo watawapigia kura
wafanyakaz na vjana hawatafanya ujinga huo
Amini usiamini Magufuli ndiye kabebeshwa jeneza la CCM umati wa watu unaouona kwenye mikutano yake hayo ni mandalizi ya sherehe ya kuizika CCM.
Ccm mnataka mkae madarakani mpaka kiama yesu atakaporudi,alafu leo hii eti wapinzani wanauroho wamadaraka!.mimi nichague ccm nimelogwa? nyambafu!
Uloi nga mâché68;14339153 said:Ukawa utakuwa ukiwa oktoba 25