hivi kweli hii ni sahihi?

Aristolicius

Senior Member
Mar 3, 2012
110
38
kuna tabia imezuka kwa wasichana walio kwenye relationa kupata mimba kwa makusudi bila makubaliano na wenzi wao ili kujihakikishia ndoa,hata kama mahusiano ni ya b/friend&g/friend bila hata ya kuwepo uchumba,sio haki kwa mtoto ataezaliwa,sio haki kwa baba ambae hakupanga tabia hii inaboa baba akikataa kuhufumia mtoto utamlaumu?
 
Swali lako la kipuuzi. Kani ukifanya ngono bila kinga hujui matokeo yake ni nini? Na mtoto huwa ni matokeo ya shughuli ya watu wangapi? Mwanaume kamili ni yule anayewajibika kwa matendo anayoyafanya. Kama umemtia binti ujauzito bila ya makubaliano baina yake na wewe huna budi kuwajibika.
 
Sometimes nasisi wanaume tunachangia kwa kiasi kikubwa sana katika hili,wanaume siku hizi tumekuwa na longolongo sana hasa inapofikia sualala kuoa sasa wenzetu wamejitafutia defensive mechanism yao so sio mbaya.
 
Acheni kusingizia dada zenu, Kwani nyie Hamjui kujikinga???????Huwezi kutumia condoms kafunge kizazi utafungua ukihitaji kuzaa
 
bwana kama mwanamke ataki mimba atafanya juu chini ili asipate mimba yaani hilo nakwambbia kabisa....kutotumia condom bana wanawake wanaennoy tendo kwa 30% zaidi likifanyika bila ndom so la maingi hapa ni mwanamke kuwajibika na kubakikisha kuwa yeye hashiki mimba
 
Labda wanatumia ile formula ya PMU. Ila Mnamwaga sana mbegu wakulima watapanda nini?
 
Swali hili linaupogo: kwani hiyo ya bibi na bwana pika pakua, lala amka kabla ya ndoa ni sahihi?:yawn::yawn:
 
Swali lako la kipuuzi. Kani ukifanya ngono bila kinga hujui matokeo yake ni nini? Na mtoto huwa ni matokeo ya shughuli ya watu wangapi? Mwanaume kamili ni yule anayewajibika kwa matendo anayoyafanya. Kama umemtia binti ujauzito bila ya makubaliano baina yake na wewe huna budi kuwajibika.

kama mtu ameamua kukutegea hiyo mimba hata hiyo kinga anaweza kumess nayo around kama unataka ndoa mwambie mwenzio kama hataki mpotezee!hata kama akimuhudumia mtoto asipomuoa unafikiri mtt ataenjoy maisha ya single parent?
 
kimsingi dada zetu wanashida, kwani wanatamani kuwa na mtu wa kudumu naye ila kumpata ni mitihani sana, so me naona siyo sahihi kwani anaweza zaa na asiolewe vilevile
 
ngon si ruksa kabla ya ndoa kwa sababu yoyote ile ndivyo din zote zinavyoonesha na naamin pia tamadun zote ziko hivyo(i stand to b corrected hapa),and if it happens the other way around opt for condom use,ingawa ngono kabla ya ndoa n njema it manifest manhood and woman in most vivid way!
 
kama mtu ameamua kukutegea hiyo mimba hata hiyo kinga anaweza kumess nayo around kama unataka ndoa mwambie mwenzio kama hataki mpotezee!hata kama akimuhudumia mtoto asipomuoa unafikiri mtt ataenjoy maisha ya single parent?

Ndugu yangu, mtoto anafurahia huduma bora na upendo hata kama atalelewa na mzazi mmoja. kuna watoto wengi wanalelewa na wazazi wote wawili lkn hawafurahii maisha.
 
Back
Top Bottom