kwenye red:Mtibwa suger ina uwanja wake binafsi, sio azam tu .NA PIA azam haina uwezo wa kuwa na uwanja wake watajenga kwa kupitia kipato kipi.Uwanja ni wa SS BAKHRESA,mfano cocacola iwe na timu yake alfu iijegee uwanja hiyo timuJamani mbona tupo wengi sana tena kuliko mnavyo fikiri. Azam ndio mkombozi wa soka la wadanganyika. Nina kila sababu ya kuipenda Azam tim pekee yenye uwanja ndani ya danganyika, tim pekee yenye Academy hapo bongo. Sasa simba na mkewe yanga nani mwenye aset hizo? Yanga/simba= siasa. Azam dume lenu, mwakahuu lazima tuchukue chalenji
Jibu maswli yafuatayo:Mashabiki mbona tupo jamani. Msije mkadhani watu wote tunazipenda Simba na Yanga. Ndio maana vijana wengi wenyeuelewa tunashabikia AZAM. Unajua watanzania hatujui kitu kimoja. kijana wa leo mwenye miaka kumi akianza kufuatilia mpira wa bongo lazima ataitazama AZAM kama vile JUVENTUS ama BARCA jinsi inavyojiendesha na inavyojitangaza. Suala ni mpira na mipango ndio inayoleta mashabiki. Chukulieni mfano Barca kabla ya MTAKATIFU RONALDINHO hajatua ilikua inaonekana kawaida tofauti na leo hii watukibao mnaipenda na kuishabikia. Mashabiki wa Azam wapo jamani. Natumaini Azam itafanya makubwa ambayo hayajawahi kufanywa na kulwa na doto. FORZA AZAM, FORZA JUVENTUS PER SEMPRE.
Jibu maswli yafuatayo:
1.je,una umli gani?
2.kabla ya kuwajua azam haukuwa na timu?
3.Kama ulikuwnayo ni timu gani?
4.Je shbiki anaama timu?
kwenye red:Mtibwa suger ina uwanja wake binafsi, sio azam tu .NA PIA azam haina uwezo wa kuwa na uwanja wake watajenga kwa kupitia kipato kipi.Uwanja ni wa SS BAKHRESA,mfano cocacola iwe na timu yake alfu iijegee uwanja hiyo timu
pole sana kwa mawazo hayo..
Mimi ninikua yanga, lakinini nashukuru nimepata ukombozi wa wamawazo nimeiama iyo tim nasiitaki hata kuisikia. Ivi Yanga ndio kidudu gani?Mashabiki wa Azam wengi wametoka Simba
Mimi ninikua yanga, lakinini nashukuru nimepata ukombozi wa wamawazo nimeiama iyo tim nasiitaki hata kuisikia. Ivi Yanga ndio kidudu gani?
kwenye red:Mtibwa suger ina uwanja wake binafsi, sio azam tu .NA PIA azam haina uwezo wa kuwa na uwanja wake watajenga kwa kupitia kipato kipi.Uwanja ni wa SS BAKHRESA,mfano cocacola iwe na timu yake alfu iijegee uwanja hiyo timu
Ipo siku ntahitaji critical conversation tena ya uso kwa macho mm na ww uniambie unaijuae azam fc toka kuanza mpk ss na mm nikueleze ninavyoijua. Sorry mm ni mtu wa ndani wa azam shangaa vitimbi km miongoni mwa wakurugenzi kuwa watu wa kutupwa wa ssc (majority) na kandambili (minority). Swali la kipuuzi kwako hv umewahi ht kumpeleka mchezaj pl ktk academy kweli ni mtu wa mpira n nn majibu uliyapata!? Nn kinaitafuna azam?
Hakuna klabu yenye uwanja zaidi ya Yanga, uwanja wa Manungu na Mtibwa Sugar FC wote ni mali ya Mtibwa Sugar Co. Ltd., uwanja wa Chamazi na Azam FC wote ni mali ya SS Bakhressa Group of Companies, kwa taarifa zaidi rejea sheria ya makampuni Cap. 212.
Mimi ninikua yanga, lakinini nashukuru nimepata ukombozi wa wamawazo nimeiama iyo tim nasiitaki hata kuisikia. Ivi Yanga ndio kidudu gani?
yeyote anayependa mpira wa tanzania na mustakali wake lazima ataikubali azam na akishaikubali lazima ataipenda maana inaleta mapinduzi dhidi ya vimeo viwili vinavyoharibu soka letu.Kwanini unambishia mkuu?
Wewe inaonyesha ni YANGA eh!
yeyote anayependa mpira wa tanzania na mustakali wake lazima ataikubali azam na akishaikubali lazima ataipenda maana inaleta mapinduzi dhidi ya vimeo viwili vinavyoharibu soka letu.
kuna mtu ninamfaham yupo kwenye kikundi cha ushangiliaji cha azam yeye ni mnazi mkubwa wa yanga,Mechi ya yanga na azam akiwa uwanjani shabiki waazam akitoka wa yanga
SItaki kuamini kama Azm fc,inamashabiki wa kweli,Minachofaham mashabiki wao ni wa kununuliwa au ni wafanyakazi wa Pale Azm complex yaani wana maslahi na timu.Ninachofanya ni kuwapa pole kwa kupambanisha mioyo yao na pesa,yaani huku shabiki wa simba/yanga lakini unalzimisha kuishanglia timu adui yako uwanjani.Mtapata KISUKALI SHAULI YENU!