yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,526
- 1,410
SItaki kuamini kama Azm fc,inamashabiki wa kweli, Minachofaham mashabiki wao ni wa kununuliwa au ni wafanyakazi wa Pale Azm complex yaani wana maslahi na timu.
Ninachofanya ni kuwapa pole kwa kupambanisha mioyo yao na pesa,yaani huku shabiki wa simba/yanga lakini unalzimisha kuishanglia timu adui yako uwanjani.
Mtapata KISUKALI SHAULI YENU!
Ninachofanya ni kuwapa pole kwa kupambanisha mioyo yao na pesa,yaani huku shabiki wa simba/yanga lakini unalzimisha kuishanglia timu adui yako uwanjani.
Mtapata KISUKALI SHAULI YENU!