Hivi kweli Azam ina mashabiki?

Hivi kweli Azam ina mashabiki?

Ukitaka kujua ukweli wa mashabiki wa Azam fuatilia mechi za Azam pale Chamazi dhidi ya timu yoyote, utapata ukweli. Kuna mechi waliingia watu 9 tu. Ukiangalia Azam v Yanga/Simba utapata error kubwa sana kwani mashabiki wa Yanga huishangilia Azam ikicheza na Simba, vivyo hivyo mashabiki wa Simba huishangilia Azam ikicheza na Yanga.

Azam haina washabiki wa kweli,wengi ni waganga njaa
 
Mashabiki wa Simba na Yanga ni Analojia....wa Azam ni Dijitali......
 
kwenye red:Mtibwa suger ina uwanja wake binafsi, sio azam tu .NA PIA azam haina uwezo wa kuwa na uwanja wake watajenga kwa kupitia kipato kipi.Uwanja ni wa SS BAKHRESA,mfano cocacola iwe na timu yake alfu iijegee uwanja hiyo timu

kwanza wewe ni mshabiki wa yanga pili ni kichaa, eti azam haina uwanja uwanja ni wa ssb! sasa hiyo azam ni ya nani?
 
Ukitaka kujua ukweli wa mashabiki wa Azam fuatilia mechi za Azam pale Chamazi dhidi ya timu yoyote, utapata ukweli. Kuna mechi waliingia watu 9 tu. Ukiangalia Azam v Yanga/Simba utapata error kubwa sana kwani mashabiki wa Yanga huishangilia Azam ikicheza na Simba, vivyo hivyo mashabiki wa Simba huishangilia Azam ikicheza na Yanga.

unataka azam iwe na washabiki ili wafanye nn hao mashabiki? mechi ya azam na ferreviario ya msumbiji tulijaa uwanjani hadi pa kukanyaga hakuna sasa mnataka nn zaidi?
 
unataka azam iwe na washabiki ili wafanye nn hao mashabiki? mechi ya azam na ferreviario ya msumbiji tulijaa uwanjani hadi pa kukanyaga hakuna sasa mnataka nn zaidi?

Siyo kila anayeingia uwanjani ni shabiki wa timu zinazocheza, akili kiduchu kama ya MOSSAD II yaweza kupambanua haya, mtu mzima hovyooooooooooooo!
 
Siyo kila anayeingia uwanjani ni shabiki wa timu zinazocheza, akili kiduchu kama ya MOSSAD II yaweza kupambanua haya, mtu mzima hovyooooooooooooo!

faida ya mashabiki kwa timu ni nini? azam hana mashabiki na uwanjani tunajaa sasa nini mnachohitaji zaidi, azam complex nimeenda mara mbili mara ya kwanza azam na wamakonde uwanja ulifurika na second time ni azam na mby city napo uwanja ulijaa sasa mnataka nini nyie wana? nmb nae kakimbilia azam hujiulizi kwanini? muulize mtu aliyesoma masoko atakwambia kwanini nmb ameenda kuidhamini azam
 
Azamu imepata washabiki baada ya watanzania kutokuwa Na timu miaka kibao azam timu sio siasa za simba Na yanga .timu inapaswa kuwa Na uwanja ,academy ,fitness centre,hostel ,mishahara inalipwa kwa wakati .yanga ,simba siasa
 
mim ni shabiki wa ukweli wa azamu....man city mbona inamashabiki? kila cku soka inapata wapenzi wapya hasaa watoto na vijana
 
Azamu imepata washabiki baada ya watanzania kutokuwa Na timu miaka kibao azam timu sio siasa za simba Na yanga .timu inapaswa kuwa Na uwanja ,academy ,fitness centre,hostel ,mishahara inalipwa kwa wakati .yanga ,simba siasa

Siku Bakhressa akipata ajali na ku-carass ndio utakuwa mwisho wa Azam FC. Ee Mola fanikisha jambo hilo, amen.
 
Siku Bakhressa akipata ajali na ku-carass ndio utakuwa mwisho wa Azam FC. Ee Mola fanikisha jambo hilo, amen.

Kwa taharifa yako Azam inaongozwa Na system Mzee wa watu amejizeekea vijana wanapiga kazi kampuni ya Bakhressa sio ya mbongo akifa mambo yote yanadondoka.
 
Hivi anaeifananisha Azam na Man city haoni ni sawa na kufananisha kinyesi na ugali!!!!???? Hivi unajua man city ipo kabla ya man U!!!! Pole
 
Nilishaachana na Yanga na SImba, nafkiria kwenda azam
 
SItaki kuamini kama Azm fc,inamashabiki wa kweli,Minachofaham mashabiki wao ni wa kununuliwa au ni wafanyakazi wa Pale Azm complex yaani wana maslahi na timu.Ninachofanya ni kuwapa pole kwa kupambanisha mioyo yao na pesa,yaani huku shabiki wa simba/yanga lakini unalzimisha kuishanglia timu adui yako uwanjani.Mtapata KISUKALI SHAULI YENU!
Huijiu Azam
 
Back
Top Bottom