Hivi kwanini wote tunaomkosoa Rais tunapewa chama?

Madihani

JF-Expert Member
Apr 30, 2015
5,984
6,639
Habari za muda huu wana jamii.
Mimi ni Mwalimu Unyangala(Mwl Sekondari).

Mara kadhaa najiuliza ni kwanini tunaompinga huyu mkuu wa Magogoni kutokana na mapungufu yake, tunaambiwa ni wanachadema wote.

Ukiachana na kupewa chama kila tukitoa malalamika ya hali mbaya kiuchumi majibu ni tulikuwa wapiga dili,sasa mwalimu nilikuwa napiga dili gani?

Huyu mkuu wetu wa magogoni amezuia haki zetu kama watumishi wa umma na kutuita wapiga dili ndiomaana tunalalamika.

Members kama Lizaboni Lupyeee Troll JF na marehemu Magonjwa Mtambuka nk nawaambia mtambue kuwa sio kweli kuwa kila mtanzania ni mpiga dili.

Hali imekuwa mbaya tangu huyu alipoteuliwa kuwa mtu ambaye hajaribiwi.


Mwl Unyangala.
Sio mwanachama wa chama chochote,hata CWT mimi sijawahi kuwa mwanachama.
 
Kama mwalimu unamwandika mkuu wa nchi kihivi, kwa kweli nawaonea huruma anaowafundisha.

Umelazimishwa kufanya kazi hiyo?

Haujiheshimu kabisa

Jipige vibao

Sasa kama hali ni ngumu afanyeje?

Mtakalia kusifia wakati mambo yanaharibika??

Kumbuka wana madeni wanaidai Serikali, wamepandishiwa marejesho ya mkopo, mazingira magumu ya kazi, halafu utake asifie ujinga??
 
Endelea kuwaonea huruma ila tambua walimu wengi kwa sasa wameamua kuwa busy na mambo yao.

Inamaana nilichoandika hujaelewa au sababu umepewa cheo ndiomaana unamtetea huyu mungu wa Magogoni.

Kama mwalimu unamwandika mkuu wa nchi kihivi, kwa kweli nawaonea huruma anaowafundisha.

Umelazimishwa kufanya kazi hiyo?

Haujiheshimu kabisa

Jipige vibao
 
Wewe hauko sawa hivi Bachelor of Arts with Education au Diploma in Education akafanye kazi gani?

Mfia chama ila tambua wanafunzi watafeli sana.

Kama mwalimu unamwandika mkuu wa nchi kihivi, kwa kweli nawaonea huruma anaowafundisha.

Umelazimishwa kufanya kazi hiyo?

Haujiheshimu kabisa

Jipige vibao
 
  • Thanks
Reactions: 999
Wewe hauko sawa hivi Bachelor of Arts with Education au Diploma in Education akafanye kazi gani?

Mfia chama ila tambua wanafunzi watafeli sana.

Halafu unajua nini, hakuna kiongozi aliyezungumzia kufeli kwa wanafunzi.

Kila siku kiki za hapa na pale.
 
Back
Top Bottom