Kunatutesa? Angalieni huyu mwehu anajua kitu kinachotutesa watanzania, nacho ni kutokujua kingereza. Hii upUmbavu wala hakuna haja ya kuelekeza, this is a fool that can not be repaired just like many kenyans.Bora hivyo sasa umerudi kwenye kucheka Cheka na mipasho nafuu maana povu itakupa presha, ila ukweli unabaki pale, kutokujua kuongea kingereza kunawatesa sana.
Manzi zenu tu mmewashindwa mpk yule mwenye big booty kaenda kuolewa na taliano....na wataliano kwa kuzibua mitaro DahHehehe!! Siwezi nikahamia huko, labda nije tu kukwapua mihela na kugeuza na labda kuwajulia hali dada zenu.
Zote anazo independence na familia ykeKwahiyo tz kuna mihela.
Mihela ya kenya ako nayo nani
Hehehe!! Siwezi nikahamia huko, labda nije tu kukwapua mihela na kugeuza na labda kuwajulia hali dada zenu.
FalseWakenya mnapiga mikelele sana.
1. Mombasa, wakazi wa mombasa wengi wao hawajui English, muda mwingi hutumia kiswahili.
2. Except Nairobi, the rest of country wanaongea lugha za makabila yao. .... hawajui English wala kiswahili.
Pigeni makelele yenu tu
aha haa haaa.....I wish one day tuwe kwenye negotiation nawe nikupige rungu la KICHWA.
Imekua kawaida kule Tanzania wao huchelewa kutekeleza chochote na kutuona ovyoo sisi tunaothubutu, hatimaye wanaishia kufanya mwisho mwisho tena kwa kuhaha..
Kwa mfano kitambulisho cha uraia walijifanya kukikataa enzi zile, lakini leo wanakimbizana kila mmoja akikitafuta awe nacho haswa baada ya tangazo la hivi majuzi kwamba laini za simu zitakatwa ikitokea hujachukuliwa alama za vidole ambayo pia masharti lazima uwe na kitambulisho aidha cha uraia au cha kura.
Tulipochangamkia kingereza kwa kuhakikisha Wakenya wamekua wajanja wa lugha ya kiswahili na kingereza zikiwemo zetu za asili, wakatuita watumwa wa ukoloni kisa tunaongea kingereza, na pia washamba kisa tunaongea lugha zetu za asili. Wakaibuka na dhana kwamba kujua kingereza sio kipimo cha elimu na kujifanya kutokujua umuhimu wa lugha ya kingereza kwa dunia ya leo ambapo mataifa yote yakiwemo China, Urusi n.k. yapo mbioni kuhakikisha raia wao wanazungumza kingereza, maana ndio lugha ya biashara duniani.
Leo hii ukienda pale Dar, shule zimefunguliwa nyingi za english medium zinafundisha watoto kingereza, wajanja wenye hela wamepeleka watoto wao huko ilhali walalahoi wameambiwa wakomae na uzalendo wa kiswahli kwenye shule za saint Kayumba mitaani.
Kwao matangazo ya biashara na ajira unakuta kwenye vigezo imeandikwa lazima anayeomba fursa au nafasi awe na uwezo wa kuzungumza na kuandika kingereza kwa ufasaha.
Kingereza huwatesa sana, unakuta kiongozi, waziri, mkurungezi, jaji n.k. hawezi kujieleza kwenye kongomano la kimataifa, anatetereka na kuyumbayumba ze ze ze
Kuna hili la kufungua soko la Afrika kwa mataifa yote ya Afrika kuungana na kuwa soko moja, wengine tumeungana na mikakati inaendelea kuratibisha, Tanzania imenuna na kawaida wamejilinda kwa kauli zao zile za kawaida, sitashangaa wakija mbio siku za usoni wakitafuta nafasi, ila ndio hivyo, haiwezekani ukabarikiwa na kila kitu, kuna watu wengine ability to analyse and process details huwa very slow....
I wish one day tuwe kwenye negotiation nawe nikupige rungu la KICHWA.
True, nishaonaga wakenya wanavyoboronga english kwenye mahojiano ya television.False
Na hao ndio wengi and are worse, hawajui english wala kiswahili.Sio kila Mkenya anajua kingereza kwa ufasaha, ila Mkenya wa kijijini anayeboronga unakuta ni nafuu kuwaliko hata viongozi wenu.
Hehehe mbona tena umeacha kucheka cheka, povu zitakupa presha bana, halafu negotiation mimi na wewe wapi na wapi maana hatuendani, labda mwanangu aje kuoa huko na itokee wewe ni mojawapo wa wazee wa kupokea mahari.
Nakumbuka mara ya mwisho nilikuwa mjini Mombasa kwa ajili ya kutembea. Nilienda kusajili laini ya safari kwa ajili ya mawasiliano.
Alinichosha mkenya aliyekuwa ananipa huduma kwa kuniuliza kama naelewa kingereza kilichoandikwa kwenye kipeperushi kwa ajili ya kujiunga bundle mbalimbali.
Nilimjibu ya kwamba usikariri kila mtanzania hajui kingereza. Mimi ninafahamu kiswahili fasaha, kingereza kiasi chake, kiarabu kiasi chake na kijerumani kidogo sana.
Nakumbuka mara ya mwisho nilikuwa mjini Mombasa kwa ajili ya kutembea. Nilienda kusajili laini ya safari kwa ajili ya mawasiliano.
Alinichosha mkenya aliyekuwa ananipa huduma kwa kuniuliza kama naelewa kingereza kilichoandikwa kwenye kipeperushi kwa ajili ya kujiunga bundle mbalimbali.
Nilimjibu ya kwamba usikariri kila mtanzania hajui kingereza. Mimi ninafahamu kiswahili fasaha, kingereza kiasi chake, kiarabu kiasi chake na kijerumani kidogo sana.
Watanzania wengi ni washamba sana, na sasa hivi wemeingia wenge la kumsifia jiwe ambaye hamsaidiii yeyote zaidi ya kuiba na kusaidia watu wa kwao tuuHili suala hua linaniumiza mimi binafsi,tena sana!
Sema basi sina uwezo!
CCM ichomwe moto kabisa!
Najilaumu sana!
Tunakumbana nacho form one, sio form four. I know bush kenyans mzee, hawajui english wa swahili.Haiwezekani maana kingereza tunafundshwa wote kuanzia chekechea, sio kama nyie wengi wenu mnakumbana nacho kuanzia form four, mnaishia kuteseka.