Hivi kwanini wanawake wenye mashosti wanakuwa wasumbufu zaidi kwenye mahusiano?

Mwanamke akisimama mwenyewe na akasikilizana na mumewe mambo yanaenda poa.
Lakn akiwa na marafiki pembeni..... Ushauri mbaya ndo unaanzia hapo.....
Utasikia "unambembeleza huyo ni mama yako?".
"Unakomaa na biashara za mwanaume....tafuta zako hizo ni zake".
"Shoga nimedanga nimepata hiki hapa nawe jiongeze huyo sio mama yako...."
"Hata ukiachika bado inalipa asikusumhue huyo....."

Ni tabu tupu
Hatari sana hii, majuto huja mwishoni akishaharibu
 
Na mwanamke anayabase kwa marafiki lazima marafiki atawafanya kipaumbele kuliko mumewe, hapo vikwazo vitaanza
Hivi kwanini inakuwaga hivi in most cases! Yani nadra sana kukuta mke ana marafiki rundo halafu anamsikiliza zaidi mumewe
 
Kuna ushauri wa kila aina mzuri na mbaya kutoka Kwa mashosti so ukishindwa kuuchuja na kuchanganya na akili zako utaishia kuvuruga mahusiano yako, unaweza kushauriwa usimbembeleze babe wako kwani wapo wengi tu,akizingua mmwage dooh ,usipokua makini akikukwaza kidogo tu unampa kibuti,
Lakini mara nyingi mashosti ndio wana nguvu kuliko mume na ndio wanaotunza siri za kijambazi!
 
Tayari ushasema mashosti! Wanakutana wenye tabia tofauti halafu kila mmoja anaiga tabia ya mwenzake!

Sasa kama huo ushosti ni wa watu wanne imagine mtu mmoja kuwa na tabia za watu wa nne!

N:B, Ndege wafananao huruka pamoja!
Sasa kwanini kila mtu asibaki na msimamo wake, kwani lazima kuiga lifestyle ya mwenzio
 
...huwa wana hulka ya kusimuliana maisha yao,mwisho wa siku atakuwa kila analosikia zuri ambalo rafiki yake anafanyiwa na mpezi wake(si kwa masuala yanayohusu ela tu) naye atatamani na ataona ni haki ya msingi kwenye mahusiano na endapo hutomfanyia aidha akikuomba au kwa kujiongeza ataona kama hujakamilika na hutendei haki mahusiano...Hata ujitahidi vipi mwisho wa siku hutoweza kutenda peke yako yote mazuri ambayo amecopy kutoka kwa wenzie mmoja mmoja yalitotendwa na wapenzi wao tofauti...na ndo chanzo cha myumbo sababu wanawake wanaongeza marafiki kila siku wenye Life style tofauti...ILA KUNA WACHACHE SANA WANA AKILI YA KUWEZA KUCHUKUA YALE MAZURI NA YA MUHIMU KATIKA KUJENGA MAHUSIANO NA MAISHA..WENGI WAO TATIZO NI TAMAA NA KUTOKUWA NA UWEZO WA KUCHUJA NA WANAAMINI KILA ZURI KWA MACHO NI MUHIMU.
Dah point, ila si kila mtu ana maisha yake na hilo lazma liheshimiwe. Kama jamaa yake ana uwezo kiasi flani hio ni yeye ila wengine wanaenda mbali na kuanza kufananisha wapenzi wao na wapenzi wa mashosti zao. Hio tabia mbaya sana aisee. Mbona haupo kama James, ona alivyomfanyia winnie kitu flani.
 
Mwanamke asiejitambua lazima awe na genge la marafiki, na sio marafiki tu bali marafiki wasiojitambua pia. Mtu wa hivyo ni rahisi kushikiwa akili.
Hii ni kama ina ukweli, maana wanawake walio busy na maisha hawanaga mda wa ushosti. Mara nyingi haya magrupu naonaga ni kwa ajili ya kusengenya watu na kushauriana upuuzi tu.
 
AKILI zao zakushikiwa
Ila sio wote, japo wengi ni wana less confidence. Yani hata ukimtongoza lazima maombi yako yapitishwe na azimio lao la bunge. Unachambuliwa hadi kucha za miguu kisha ndio aidha unakubaliwa au unakataliwa.

Utaskia "yule mkaka wa mlimani ananitaka shogaangu eti nimkubalie? We unamuonaje ataendana na mimi kweli"?
 
Kwa sababu wamemshika masikio na pia kujisahau kuwa maisha ya ndoa na kabla ya ndoa ni tofaut sana. Weng hawawez kisucrifice kwa kigezo kuqa amekuwa na marafiki miaka mingi . Na ukweli ni kuwa, mwanamke akibase kwa marafiki ndoa lazima iingie mtihan kwa sababu mume anakosa time ya kuwa karibu na mke na maamuz yake yanakuwa hayana influence
Hivi kwanini inakuwaga hivi in most cases! Yani nadra sana kukuta mke ana marafiki rundo halafu anamsikiliza zaidi mumewe
 
Hatuzungumzii demu tunazungunzia mke na mume.
Wanaume tukioa hatushikwi masikio na marafiki mpk marafiki zetu wanasema jamaa kaoa hana time na sisi halafu kawekewa limbwata yule


Ila wanawake mkiolewa mnaingua na mashost ndoani, kikwzo kikubwa sana hiki
Nazungumzia mume
 
Hatuzungumzii demu tunazungunzia mke na mume.
Wanaume tukioa hatushikwi masikio na marafiki mpk marafiki zetu wanasema jamaa kaoa hana time na sisi halafu kawekewa limbwata yule


Ila wanawake mkiolewa mnaingua na mashost ndoani, kikwzo kikubwa sana hiki
Baadhi ya wanawake wapo hivyo halafu mwanamke mpenda mashosti wala hajifishi ukioa ujue umetaka mwenyewe usumbufu so kuvumilia kwako lazima
 
Hivi wewe unatujua ama unatusikia mkuu! Ni wachache mno wenye msimamo!

Na kama ukionekana una msimamo ni rahisi sana wewe kujitenga kabla hata hawajakutenga!
Dah, unajua inatakiwa lifestyle ibadilike ukishaolewa. Cant keep same friends esp. those who aren't married. Rafiki zako ni lazma wawe wachache na pia nzuri wawe wameolewa pia.
 
Back
Top Bottom