Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,651
Tutake radhiMashost ni kama wakikutana humu JF wanajazana ujinga tu.
Tutake radhiMashost ni kama wakikutana humu JF wanajazana ujinga tu.
Nisamehe. Hivi inakuwaje ID ya 2012 halafu siifahamu?!Tutake radhi
JiniasiNi kwa sababu wanapokuwa kwenye vigenge wanakutana kila mtu na tabia zake, interest zake na hata malezi tofauti kwa hiyo ni rahisi kuigana na kushauriana mema na mabaya
UnaifahamuNisamehe. Hivi inakuwaje ID ya 2012 halafu siifahamu?!
Hivi wewe ndio yule ninayekufahamu?Ila ukiwa na mwanamke nwenye mashost halafu ana akili za kushikiwa utaona kila rangi
kwani no yangu umedelete?Hivi wewe ndio yule ninayekufahamu?
Hahaaa unaifaham sn tuNisamehe. Hivi inakuwaje ID ya 2012 halafu siifahamu?!
Nimechumbiwa na mtoa mada
Naomba uzi uishie ktk hii SMS tafadhali Wadau.Mwanamke akisimama mwenyewe na akasikilizana na mumewe mambo yanaenda poa.
Lakn akiwa na marafiki pembeni..... Ushauri mbaya ndo unaanzia hapo.....
Utasikia "unambembeleza huyo ni mama yako?".
"Unakomaa na biashara za mwanaume....tafuta zako hizo ni zake".
"Shoga nimedanga nimepata hiki hapa nawe jiongeze huyo sio mama yako...."
"Hata ukiachika bado inalipa asikusumhue huyo....."
Ni tabu tupu
nimeona nijiridhishe nisijekuwa nimekurupuka. Nifute ili iweje shogangu sema tu siku hizi sijui nimekuwajekwani no yangu umedelete?
Nimechumbiwa na mtoa mada