agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,391
Hahaaa me nishazoe kuambiwa naringa ....ila kujichanganya na mashosti nilishashindwa .Nausipo kuwa naona watakusema unaringa ukipita sehemu waliyokaaa huku nyuma utasikia vicheko vyenye sauti za kila aina