Wee uneona wapi mwanaume anaenda kwq Mwamposa aombewe kupata mke?Hello jf.
Kuna kautafiti kangu kasiko rasmi nimekuwa nakafanya kisirisiri,nimegundua kwamba wanawake wengi walioolewa wanapenda sana kuonyesha pete zao za ndoa,utakuta anajipiga picha kwa kutumia simu but atahakikisha lazima pete yake ya ndoa inaonekana kwa watazamaji.
Hivi hii huwa ina maana gani wakuu?
Kwanini hampendi mkuu?Mwanaume huchagua mwanamke bora wa kumuoa.
Ndio maana mama wa Bi Harusi huitwa 'mama mzaa chema'.
Kwahiyo mwanamke akiolewa tayari huyo ni grade ya juu maana ameonekana 'chema na bora' kwa anayeolewa naye.
Kisaikolojia atajitahidi kwenye kila jambo kuonekana kuwa yeye ni 'mwanamke ambaye ameolewa'.
Na hakuna ubaya wowote kwenye hilo.
Mbaya ni mwanamkwe kutaka kulazimisha mumewe naye avae pete ilhal wanaume wengi hatupendi kuvaa pete za ndoa.
KumekuchaMajibu ya wadau sasa
Ndiyo Ukweli WenyeweUkimchunguza sana nyoka utasema ana miguu
Proverbs 18:22Ni bahati kwao kwakua ame gain kitu, kwa mwanaume ni mkosi, na ame lose
achana na imaginations za makaratasi ayo aliotunga binaadam mwenzako, tunaongea in realityProverbs 18:22
[22]Who so findeth a wife findeth a good thing, and obtaineth favour of the LORD.
Apataye mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa BWANA.
Reality yako si lazima iwe reality kwa wengine pia. Ungesema kwako mke ni mkosi, ungeeleweka kirahisi zaidi kuliko ulivyo wasemea wanaume kwa ujumla wao.achana na imaginations za makaratasi ayo aliotunga binaadam mwenzako, tunaongea in reality