Hivi kwanini Wanawake wengi walioolewa wanapenda sana kuonyesha pete zao za ndoa tofauti na sisi wanaume?

tang'ana

JF-Expert Member
Apr 3, 2015
11,809
15,057
Hello Jf.

Kuna kautafiti kangu kasiko rasmi nimekuwa nakafanya kisirisiri,nimegundua kwamba wanawake wengi walioolewa wanapenda sana kuonyesha pete zao za ndoa,utakuta anajipiga picha kwa kutumia simu but atahakikisha lazima pete yake ya ndoa inaonekana kwa watazamaji.

Hivi hii huwa ina maana gani wakuu?
 
Hello jf.
Kuna kautafiti kangu kasiko rasmi nimekuwa nakafanya kisirisiri,nimegundua kwamba wanawake wengi walioolewa wanapenda sana kuonyesha pete zao za ndoa,utakuta anajipiga picha kwa kutumia simu but atahakikisha lazima pete yake ya ndoa inaonekana kwa watazamaji.
Hivi hii huwa ina maana gani wakuu?
Wee uneona wapi mwanaume anaenda kwq Mwamposa aombewe kupata mke?
 
Mwanaume huchagua mwanamke bora wa kumuoa.
Ndio maana mama wa Bi Harusi huitwa 'mama mzaa chema'.
Kwahiyo mwanamke akiolewa tayari huyo ni grade ya juu maana ameonekana 'chema na bora' kwa anayeolewa naye.

Kisaikolojia atajitahidi kwenye kila jambo kuonekana kuwa yeye ni 'mwanamke ambaye ameolewa'.

Na hakuna ubaya wowote kwenye hilo.

Mbaya ni mwanamkwe kutaka kulazimisha mumewe naye avae pete ilhal wanaume wengi hatupendi kuvaa pete za ndoa.
 
Mwanaume huchagua mwanamke bora wa kumuoa.
Ndio maana mama wa Bi Harusi huitwa 'mama mzaa chema'.
Kwahiyo mwanamke akiolewa tayari huyo ni grade ya juu maana ameonekana 'chema na bora' kwa anayeolewa naye.

Kisaikolojia atajitahidi kwenye kila jambo kuonekana kuwa yeye ni 'mwanamke ambaye ameolewa'.

Na hakuna ubaya wowote kwenye hilo.

Mbaya ni mwanamkwe kutaka kulazimisha mumewe naye avae pete ilhal wanaume wengi hatupendi kuvaa pete za ndoa.
Kwanini hampendi mkuu?
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom