Queen V
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 776
- 1,330
Hahahaaa dah umenichekwsha ujue
Tafuta wako mama umtunze
Mwanamke tangu lini anatafuta? Sema “subiri” wako. Niko nasubiri.
Hahahaaa dah umenichekwsha ujue
Tafuta wako mama umtunze
Michepuko utawajua tu kwa comments zao yaani wako full confident mpaka basi
Hakika Itakuwa unatoka na mume wa mtu na kama sio mimi sidhani!!
Ok, basi ngoja nikuvutie waya japo uisikie sauti yangu kidogo. Si unajua leo mama yoyoo amesafiri? Nilikuwa nakupa tu kama dokezo.Najua ni wewe. Ningekupigia simu ila ulisema nitulie utakuwa unapiga mwenyewe
Subiri povuWanaume waliooa wanaka-aura flani hivi. Yani so sexy wallahi.
Wako confident, hawana papara, ni wasafi(wanatunzwa), hawana njaa kubwa sana ya papuchi(anayo nyumbani), hawana kufuatiliana wala mawiiivuuu(anauelekeza kwa mkewe), anahonga(ndo kitu pekee anaweza kukupa).
Yaan hata kabla hajafikia hatua ya kuonga anakuwa alishakataliwa zamani sana.Kwa sababu tunaweza kuhonga hata meli tukiamua kuwekeza pembeni. Pia hatuna wivu wa kijinga jinga kama nyinyi. Kiufupi tunajali sana na pia kule faragha, huwa tuna uzoefu wa kutosha.
Njoo udange kwangu mkuuMwanamke tangu lini anatafuta? Sema “subiri” wako. Niko nasubiri.
Mwanamke tangu lini anatafuta? Sema “subiri” wako. Niko nasubiri.
SAKATA LA UCHOTAJI WA MAFUTA LIMEKUWA ENDELEVU LICHA YA MAAFA YA MOROGORO KUTOKEA, SUALA LA USALAMA WA MAISHA BADO HALIJAWA KIPAUMBELE.🚴🚴🚴🚴Habari za majukumu wakuu?
Nilikua naomba kujua ni sababu gani zinazowanya wanaume waliooa kutokukataliwa kizembe na wanawake wa rika tofauti, wakati sisi amabo hatujaoa sometimes inaweza ikapita hata mwezi hakuna hata binti anayekusalimia.
kwa leo ni hayo tu.
asante
Njoo udange kwangu mkuu
Ndio nina wake wawiliUmeoa?