carica papaya
Member
- Nov 21, 2014
- 23
- 7
Na yule Arfi wa cdm vipi?
Hah hah hah......., demokrasia ipi kaka? kwamba wao tangu nchi hii ipate uhuru, kweli hawaoni jambo linaloenda visivyo wakalipinga?
Nilisema pale mwanzo kwamba utumwa una gharama zake, moja za hizo ni huo mtizamo wenu wa kuabudu hao watu, bila nyie kuwa na imani na nyie wenyewe, na kujiona kwamba hamuwezi kitu mpaka hao jamaa kama ndugu yako 'Zamiluni' anavyoamini.
Wachina hawakuwahitaji wao, na wakaendelea....!
Sefu wa CUF pia, Sabodo mfadhili wa Chadema
Hawa jamaa wote ni wanachama wa CCM, kwanini hawaendi upinzani?
Mkuu.. Mhm.RASTUM AZZIZ mlimfanya nini? Dr.SHAMIM, Dr.ZAKIYA MEGHJI...? Tokyo40 Eee hawa nduguzetu vipi lakini wansema halafu wanatapika na baadae wanaramba matapishi yao!!!Hah hah hah......., demokrasia ipi kaka? kwamba wao tangu nchi hii ipate uhuru, kweli hawaoni jambo linaloenda visivyo wakalipinga?
Nilisema pale mwanzo kwamba utumwa una gharama zake, moja za hizo ni huo mtizamo wenu wa kuabudu hao watu, bila nyie kuwa na imani na nyie wenyewe, na kujiona kwamba hamuwezi kitu mpaka hao jamaa kama ndugu yako 'Zamiluni' anavyoamini.
Wachina hawakuwahitaji wao, na wakaendelea....!
Watanzania wote wenye akili zao timamu wamebaki CCM. Sasa wewe ulitaka wahindi na warabu wahamie chama kisicho na msimamo? Acha bia za mchana bibie
Kama alivodokeza hapo juu mchangiaji mmoja.
Hakuna watu wanafiki kama wahindi(hata waarabu ingawaje wao afadhali)
Mhindi ni kama paka, atakuja mwenyewe na kujigusisha mwilini mwako na kukubembeleza ikiwa una mnofu unaonukia mkononi.
Kama huna mnofu hata umwite vipi haji na ukimlazimisha huna kitu mkonono anakuparura.
Wahindi hivyo hivyo, watakuambia "eeh dugu veve rafiki angu bana"-ujue kuna anachokitafuta kwako, hata kama ni sahihi tu.
Jews wameanza kurudi kwao kwa maelfu...why not indians
Mbona wachagaa wengi ni Chadema umeishajiuliza?