Nimeshangazwa sana na viongozi na waheshimiwa wabunge kupitia CCM kupinga kwa nguvu zote suala la maandamano, lakini siku za karibuni imeriotiwa kwamba katika mkutano utakao fanyika mjini Mbeya utatanguluwa na maandamano kwa madai kuwa maandamano ni haki ya mwanachi/mwanachama.
Kinachonishangaza ni hiki kwamba, nakumbuka wakati viongozi na wabunge kptia chama cha Chadema walipokuwa wakifanya mikutano na maandamano halali kumekuwa na kelele nyingi kwamba ni uvunjifu wa amani, sasa najiuliza je huo wa Mbeya ni Uvunjifu wa kitu gani au ni nini? naomba kusaidiwa katika hili.
Kinachonishangaza ni hiki kwamba, nakumbuka wakati viongozi na wabunge kptia chama cha Chadema walipokuwa wakifanya mikutano na maandamano halali kumekuwa na kelele nyingi kwamba ni uvunjifu wa amani, sasa najiuliza je huo wa Mbeya ni Uvunjifu wa kitu gani au ni nini? naomba kusaidiwa katika hili.