Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,221
- 28,666
Na wanasikia maumivu kama sisiDah inasikitisha, Kwasababu ukiondoa ile ego ya ubinadamu (kutokana na kuwa sisi tuna ubongo mkubwa)....Kimsingi Hatuna tofauti na hao wanyama😐
Na wanasikia maumivu kama sisiDah inasikitisha, Kwasababu ukiondoa ile ego ya ubinadamu (kutokana na kuwa sisi tuna ubongo mkubwa)....Kimsingi Hatuna tofauti na hao wanyama😐
Ndiooo ningekuchinja mwenyewe kabisa kabisaaaTatizo hujataka achinjwe na mwingine
🤣🤣Kwani nimekufanyaje mwee😜Ndiooo ningekuchinja mwenyewe kabisa kabisaaa
EheeKinachouma ni kwamba ukipende, ukichukie, ukihusudu, ukisifie....Hakikwepeki..Dah, Yani no Alternative
ItosheThis is not fair aise!
Tu kusema uzi tyr.......unauliza kwanini kuna kufa??Dah wakuu, sasaivi apa nlikuwa natembea tembea, mara ghafla nyumba jiran nasikia watu wazima wanalia kama watoto.
Haina hata haja ya kuuliza unajua tu nini kimetokea, Hivi kwanini tunakufa?
Yani unazaliwa ili ufe?
Mungu kwanini asingeweka hata alternative jamani? Mimi wazazi wote wapo ila huwa nawaza sana zamu yangu kuwalilia!
Kama sio mimi kuwalilia wao basi wao watanililia mimi, ila kulia haikwepeki.
Nini maana yake? Kwanini lakini?Aaaarghhhhhh Aaaaaaaaarggggh
This is not fair aise!
Ndiooo ningekuchinja mwenyewe kabisa kabisaaaTatizo hujataka achinjwe na mwingine
Ulivyonona🤣🤣Kwani nimekufanyaje mwee😜
🤣🤣🤣🤭🙌Kweli huogopi kifo...unaweza hata kuwaza hayo kweli🚴🚴Ndiooo ningekuchinja mwenyewe kabisa kabisaaa
Ulivyonona
Yeah,wanahisi na huanza kufurukutaTena wengine ukishika kisu tu wanajua😥
Kwa hiyo tukikulaza njaa kwa siku 7 , bado utakuwepo?Viumbe dhaifu ufa mapema kuviruhusu vyenyenguvu kuishi
Ninalo jombi .....vp nikupe?Mzee wewe una jibu?
Ninalo jombi .....vp nikupe?Mzee wewe una jibu?
My Lord and saviour Jesus Christ went there for me. Kila mwanadamu anastahili kwenda kuzimu lakini ukombozi upo kwa kila atakayeamini kile Yesu alifanya msalabani.Sasa mtu kama Championship asipokufa kuzimu ataendaje?
Anahitajika sana akashughulikiwe
Vifo vingi havitokani na udhaifu tu: kuuana, kuliwa na simba, mamba, kujiua, vifo vya ajali za magari, uchawi, kutumbukia baharini au visimaniViumbe dhaifu ufa mapema kuviruhusu vyenyenguvu kuishi
Ukiwa unatenda mema hapa duniani, huwezi kuogopa kifo; kifo utakichukilia kama kuhama sehemu moja na kwenda sehemu nyingine. Na huko unakohamia kuna maisha mazuri zaidi ya haya hapa duniani. Tunaogopa kifo kutokana na kutojiamini na maisha yetu hapa duniani na kutojua maisha ya kule tunakokwenda.Kunatisha zaidi kufukiwa ardhin halaf pumzi kukata ee Mola atusaidie tuwe na mwisho mwema vifo visiwe vya uchungu ,sipendi kufa au watu kufa