LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,322
- 6,700
Wakuu hivi kwanini Tanzania hatunaga anuani za uhakika za miji yetu na majumbani mwetu zaidi ya namba za simu tu?
Hivi Serikali haioni kama inatucheleweshea maendeleo na kutupa ugumu wa kufanya biashara kimataifa?
Wanatuzidi hadi Uganda jamani. Kama nchi ifike kipindi tubadilike, kununua kitu mtandaoni Tanzania unatumia nguvu nyingi sana, lazima uwe mjanja mjanja sana, kinyume na hapo utaambulia kucheza na bidhaa za kichaga tu, smh!
Hivi Serikali haioni kama inatucheleweshea maendeleo na kutupa ugumu wa kufanya biashara kimataifa?
Wanatuzidi hadi Uganda jamani. Kama nchi ifike kipindi tubadilike, kununua kitu mtandaoni Tanzania unatumia nguvu nyingi sana, lazima uwe mjanja mjanja sana, kinyume na hapo utaambulia kucheza na bidhaa za kichaga tu, smh!