Hivi kwanini Tanzania hatunaga Postal Codes?

Hivi kwanini Tanzania hatunaga Postal Codes?

Tanzania tumekataa kupima miji na makazi na kuacha ujenzi holela.

Bila kuwa na mipango miji katika makazi hatuta songa mbele kimaendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Mfano,Miji ikiwa imejengwa kwa kufuata ramani ya mji inakuwa rahisi kusambaza huduma za maji,umeme, kuwezesha ardhi kuwa dhamana ya kukopea benki.

Usichangae kwa makazi holela inakuwa ngumu kutengeneza anuani za mitaa"postal code"

Tatizo viongozi wanajua umuhimu wa kuwa na upimaji, lakini wameacha ujenzi wa makazi holela kwa sababu wananchi ni " wapiga kura",yaani kwa mitazamo hii tutachelewa sana.
Hapana mkuu. Hata manzese kuna post codes.
 
Back
Top Bottom