namshukuru mungu kwa kuniumba ila kiukweli nakosa amani kwa kuniumba mfupi, mweusi,maskini,kibamia kiukweli toka na balehe nimeshatongoza mabinti wengi lakn huwezi amini hakuna hata mmja aliyenionea huruma na kunikubalia niishe nae kiukweli nafanya sana mchezo wa masterbation kwani ndo mkombozi wangu, jambo linaloniuma ni kwamba kila nikimtongoza msichana ananambia "ntakupeleka wapi wewe andunje embu toka usinichefuee kwanza nahs kutapika" wana jf ndo kusema kwamba sisi wanaume wafupi tunawatia kichefu chefu wasichana kwani kuna mt amependa kuzaliwa mfupi, mnatukosesha raha kwa kauli zenu za kumkashifu mungu. ipo ck nasi mungu atatuona waja wake kiukweli nanyanyasika sana nimeamua kujipigia zangu punyeto maana naamini wanawake wapo kwa ajili ya watu warefu maana wao ndo mungu kawajalia. najutia sana kuzaliwa mfupi ni bola tu nisingezaliwa kwa haya mateso ninayopata, kashfa,zarau vyote vinaniandama!
namshukuru mungu kwa kuniumba ila kiukweli nakosa amani kwa kuniumba mfupi, mweusi,maskini,kibamia kiukweli toka na balehe nimeshatongoza mabinti wengi lakn huwezi amini hakuna hata mmja aliyenionea huruma na kunikubalia niishe nae kiukweli nafanya sana mchezo wa masterbation kwani ndo mkombozi wangu, jambo linaloniuma ni kwamba kila nikimtongoza msichana ananambia "ntakupeleka wapi wewe andunje embu toka usinichefuee kwanza nahs kutapika" wana jf ndo kusema kwamba sisi wanaume wafupi tunawatia kichefu chefu wasichana kwani kuna mt amependa kuzaliwa mfupi, mnatukosesha raha kwa kauli zenu za kumkashifu mungu. ipo ck nasi mungu atatuona waja wake kiukweli nanyanyasika sana nimeamua kujipigia zangu punyeto maana naamini wanawake wapo kwa ajili ya watu warefu maana wao ndo mungu kawajalia. najutia sana kuzaliwa mfupi ni bola tu nisingezaliwa kwa haya mateso ninayopata, kashfa,zarau vyote vinaniandama!
Usikate tamaa kwani pesa ndiyo sabuni ya roho ukiwa nazo hata mke wa mtu unaopoa tena kama vile hautaki. Chukulia mfano wa Diamond na Ridhiwani Kikwete ambao ni mbilimbi kimaumbile ila wanajiokotea mademu kama vile hawana akili. Wewe chakarika tu, utashangaa siku ya siku wanakuja machangu wa Bongo movie kukutongoza wewe.