KIDUDU
JF-Expert Member
- Sep 17, 2012
- 2,554
- 1,920
Haya ndiyo mapumbavu kabisa, yaani hii nchi ukifikiria sana unaweza ukapiga watu risasi, mimi napambana nihamie CanadaNi kupoteza muda kuwategemea wabunge wa ccm (ambao ndio wengi) usitarijie lolote la maana. Kumbuka ndio waliopitisha sheria kandamizi za mifuko kulipa kwa mkupuo 33% kabla Raisi hajaingilia kati!
Kuwategemea hawa wabunge wa ccm ni kupoteza muda na wakati.
Dawa hapa ni TUCTA kwenda mahakamani kudai haki za wafanayakzi ktk mafao, sema na TUCTA yenyewe hakuna viongozi bali siku hizi kuna wachumia tumbo!