Hivi kwanini Serikali isiajiri wahitimu wote kama wanavyoajiri walimu na kada zingine za afya bila interview?

Ajira zote za tamisemi, wale wanaoajiriwa huko halmashaurini mara nyingi huwa hazina usaili kwa kada zote, ni mnaapply kisha mnapangiwa vituo.

Inapokuja ajira za taasisi za serikali, mashirika ya umma na binafsi, wizara nk basi ndipo linapokuja suala ya usaili.

Sasa ukiangalia kwenye hayo maeneo hakuna nafasi za walimu ndiyo maana unaona hawaitwi, hivyo wanasubirigi dirisha la TAMISEMI la mwezi May tuu.
Kwani halmashauri hawahitaji watu wa kada nyingine mkuu?
 
Pia nasikia walimu wanakuwa tayari walisha fanyiwa interview wanapokuwa field kwenye shule na wale wakaguzi na kupewa alama

Kwa hiyo inaaminika tayari walishapimwa uwezo wao na wanajua wanachokifanya
Sasa Kwa Nini na sisi tusipangiwe training na kule tunakofanya tufanyiwe interview tukiweza tunawekwa Kwa database kwaajili ya ajira
 
Kama ulikuwa unakariri huko darasan kazi kwako, wale jamaa wa utumishi wanataka kuona unaelewa nini kuhusu fani husika.
Tatizo kubwa vijana waliomaliza vyuo wanapenda kubet, kubishania soka, kupostpost mitandaoni wakiwa batani na vinjunga.

Ila sio wafuatiliaji kuhusu mambo mengi sana yanayoendelea katika taifa lao, ukitaka ujue angalia michango yao katika nyuzi za uchumi weupe sana.

Kijana kamaliza UDBS, IFM na vyuo vyenye kozi za biashara utakuta hajui hata mambo madogo kama interest rate inayotolewa na BoT au tax corporation wanayocharge TRA

Sasa unakuta mtu anaomba kazi TRA hajui hata mambo yahusuyo TRA au jinsi alichosomea kinavyohusiana na kazi ya taasisi, wizara au mamlaka anayoomba kazi. Lazima kila interview afeli hawezi kutoboa

Kuna mambo hautafundishwa chuoni unatakiwa ujiongeze. Utakuta ambaye hajasomea mambo ya business lakini mfuatiliaji wa mambo ya uchumi ana ufahamu mkubwa kuliko aliyosomea course za B.com chuoni

Hizi mbanga ndizo zinazowafanya wengi wafeli mitihani ya bodi ya NBAA ya CPA
 
Ajira ata huko kwa walimu n ngumu
Interview unalambwa kwenye application
 
Unachoomba hapa ni kuwa sababu Mwalimu hata interview hakufanyiwa mwanafunzi wake naye asifanyiwe.
 
Ila serikalini kuzuri Mimi najuta kusoma degree yangu hii ningeenda hata cheti au diploma ya ualimu niajiriwe serikalini bila ma interview
Kheee tena ..... Tafuta Kaz zipo mbn tuu kibao na insurance uliosoma mzee... Umemalza mwaka gan? Au ndo fresh graduate
Afu Kuna waalimu kibao hawana Kaz pia ko kila mtu na bahati yake
 
Kheee tena ..... Tafuta Kaz zipo mbn tuu kibao na insurance uliosoma mzee... Umemalza mwaka gan? Au ndo fresh graduate
Afu Kuna waalimu kibao hawana Kaz pia ko kila mtu na bahati yake
Kazi sipati za insurance halaf Mimi sio fresh graduate mbona nimemaliza chuo kitambo
Saiv nafanya kwenye tours
 
Ajira zote za tamisemi, wale wanaoajiriwa huko halmashaurini mara nyingi huwa hazina usaili kwa kada zote, ni mnaapply kisha mnapangiwa vituo.

Inapokuja ajira za taasisi za serikali, mashirika ya umma na binafsi, wizara nk basi ndipo linapokuja suala ya usaili.

Sasa ukiangalia kwenye hayo maeneo hakuna nafasi za walimu ndiyo maana unaona hawaitwi, hivyo wanasubirigi dirisha la TAMISEMI la mwezi May tuu.
Unaonekana una connection mzee allow me to check you
 
Back
Top Bottom