Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 644
- 1,122
Watatumaliza hawa machalii wanaokuja so poa visumbufu balaaTukae kwa kutulia vijana watoza kodi damu mbichi wanakuja
Watatumaliza hawa machalii wanaokuja so poa visumbufu balaaTukae kwa kutulia vijana watoza kodi damu mbichi wanakuja
Ooh.... Nkajua fresh graduate... Analalamika ata miez Hana toka ahitimuKazi sipati za insurance halaf Mimi sio fresh graduate mbona nimemaliza chuo kitambo
Saiv nafanya kwenye tours
Wanataka vyeo maofisini, wakitumwa hatua 1 wao wanaenda 2 mpaka bosi aseme mamlaka ilichelewa kukuajiriWatatumaliza hawa machalii wanaokuja so poa visumbufu balaa
Ndo hv aacha wapambanee bhn.... Maake kila mtu anatak maslah yake binafsii na sio vinginevyoWanataka vyeo maofisini, wakitumwa hatua 1 wao wanaenda 2 mpaka bosi aseme mamlaka ilichelewa kukuajiri
Hawana kipato. Wakati mwingine tuwaelewe tu. Mtu ana elfu tatu ya kutumia wiki nzima na hajui ikiisha atapata wapi ingine anajikuta bora ajaribu kuweka 1000 kwenye kamari.Tatizo kubwa vijana waliomaliza vyuo wanapenda kubet, kubishania soka.
Upo sawa, Kwa Huyu aliyeitwa kwenye interview anatakiwa kuchunguza yale mambo ya kawaida kabla hajaenda kwenye interviewSasa unakuta mtu anaomba kazi TRA hajui hata mambo yahusuyo TRA au jinsi alichosomea kinavyohusiana na kazi ya taasisi, wizara au mamlaka anayoomba kazi. Lazima kila interview afeli hawezi kutoboa
Mkuu kijana mwenye 35yrs asiye na kipato, hana mtaji, atasoma kweli sera za biashara? Kwa utulivu upi wa akili? Ukivaa viatu vyake wakati mwingine unamwelewa. Kuna umri ukifika huna kipato na umesoma unapata changamoto ya afya ya akili. Serikali inapaswa kutazama hili. Hawa vijana wenye 30+ wasio na kazi na wamesoma ni wa kuwatazama kwa jicho la kipekee.Kuna mambo hautafundishwa chuoni unatakiwa ujiongeze. Utakuta ambaye hajasomea mambo ya business lakini mfuatiliaji wa mambo ya uchumi ana ufahamu mkubwa kuliko aliyosomea course za B.com chuoni
Mambo si magumu sana boss ila Wamekuwa wengi sana ndo maana bodi zinadhibiti kwa mbinu mbalimbali ikiwemo mitihani migumu. Mkishakuwa wengi mnakosa thamani. CPA zimekuwa nyingi na kazi hakuna.Hizi mbanga ndizo zinazowafanya wengi wafeli mitihani ya bodi ya NBAA ya CPA
BRNSiasa ilisha ingia kwenye elimu ufaulu wao wa adavance sio uhalisia, ukisikiliza kijana alio pata 1 ya 3 pcb hata hawezi kutetea argument yake ndo unashanga huyu alifauli je?
Kwanini hujapendekeza walimu wafanyiwe interview badala yake umetaka wengine nao wasifanyiwe?Yes kada zingine wapangiwe pia kama waalimu wanavyopangiwa
Mbona tamisemi hawafanyi hizo interviewUngekua na kampuni yako unaweza muajiri mtu bila kujua au kupima uwezo wake?
Serikali haitufahamu kama tunavyojuana mtaani lazima kuwepo na kipimo sahihi kwa watu wote.
Pia lazima ukubali kwamba idadi ya wahitimu ni kubwa kuliko nafasi zikizopo hawawezi ajili wote ko lazima ifanyije fair competition platform
Hahaa kwa hiyo mzee unasapoti kijana asiye na ajira ambaye bado hajajipata aendelee kubet?Hawana kipato. Wakati mwingine tuwaelewe tu. Mtu ana elfu tatu ya kutumia wiki nzima na hajui ikiisha atapata wapi ingine anajikuta bora ajaribu kuweka 1000 kwenye kamari.
Sasa hivi vinaangaliwa wapi kama sio kwenye interview?Sector binafsi hawaangalii interview tuu ndo waajiri wanaangalia vitu vingi
Age
Appearance
Experience
Language
Skills
Tofauti na serikali ambapo wangeweza kupunguza mrundikano wa jobless Kwa kuwapa training halaf wawekwe kwenye database wawe wanaajiriwa kutokana na uhitaji
Umesema vyemaUpo sawa, Kwa Huyu aliyeitwa kwenye interview anatakiwa kuchunguza yale mambo ya kawaida kabla hajaenda kwenye interview
Nasapoti atafute shughuli halisi ya kufanya ila simuhukumu kwa kubeti.Hahaa kwa hiyo mzee unasapoti kijana asiye na ajira ambaye bado hajajipata aendelee kubet?
Mbona mie tangu form 1 mpaka leo nanyoa punk na sijawahi kubanwa na yeyote?Hawa ndio walipokuwa sekondari walikuwa wanatamani wamalize shule haraka ili wanyoe VIDUKU na MAPANKI maana shule ilikuwa inawabana
Kama anapata muda wa kuingia kwenye mitandao kupost, kulike, kucomment na kusoma anakosaje muda wa kuongeza maarifa?Mkuu kijana mwenye 35yrs asiye na kipato, hana mtaji, atasoma kweli sera za biashara? Kwa utulivu upi wa akili? Ukivaa viatu vyake wakati mwingine unamwelewa. Kuna umri ukifika huna kipato na umesoma unapata changamoto ya afya ya akili. Serikali inapaswa kutazama hili. Hawa vijana wenye 30+ wasio na kazi na wamesoma ni wa kuwatazama kwa jicho la kipekee.
Ni sawa unachosema ila wengi wanastahili walichoscoreMambo si magumu sana boss ila Wamekuwa wengi sana ndo maana bodi zinadhibiti kwa mbinu mbalimbali ikiwemo mitihani migumu. Mkishakuwa wengi mnakosa thamani. CPA zimekuwa nyingi na kazi hakuna.
Japo sijawai kunyoa kiduku na sitarajii kunyoa Niku challenge kiduku sio Tatizo...tatizo lipo Kwa mtu mwenyewe mfano atokee Mtu aseme Hawa wavaa baragashia wasipewe office unaona eeeDogo anataka akabidhiwe ofisi kienyeji afanye yake
Hawa vijana wanyoa viduku uwakabidhi ofc bila kuwahoji ni big no
Wapangiwe tuu kama walishaona interview sio muhimuKwanini hujapendekeza walimu wafanyiwe interview badala yake umetaka wengine nao wasifanyiwe?
Mkuu, Embu twende kwenye uhalisia, tuvae viatu vyake.Kama anapata muda wa kuingia kwenye mitandao kupost, kulike, kucomment na kusoma anakosaje muda wa kuongeza maarifa?
Sina tatizo lakini naona mfumo ubadilike maana watu wengi ni watendaji wazuri interview zinawafelishaSasa hivi vinaangaliwa wapi kama sio kwenye interview?
Labda ni huko serikali tunachoweza kukosoa ni process nzima ya interview na requitment, haimpi room mtafuta kazi kuonesha uwezo wake katika kazi husika. (Sijawahi kufanya hata moja ila huwa wanasema mara mnafokewa sijui mnakimbizwa kimbizwa, ni namna gani mtu atafanya vyema kwa mazingira hayo akiwa hayuko calm?)
Interviews, tukiziweka pembeni zile za majeshi na vyombo vya ulinzi na usalama, zingine hizi zinatakiwa kuwa comfortable, strictly and yet friendly.
Anyways Interviews ni crucial ndugu, kwa sisi wengine kuna muda tunafanya for fun tu tuone kama bado tuna uwezo wa kupambana sokoni …..
Labda tuzungumze, tatizo lako na interview ninini? Una anykind of speech disorder?