Kumbe hayati mwalimu JK alikuwa nao bega kwa begaRwanda ndio wakala mkuu wa mabeberu katika eneo la maziwa makuu, wanamtumia kuivuruga DRC ili wale kirahisi.
Hivyo basi anapewa promo sana na hata PK akiua watu wake mabeberu yanaangalia pembeni, yanamhitaji.
Tanzania, hususani serikali ya awamu ya 4 kurudi nyuma tumekua bega kwa bega na Burundi, pia wale ndugu zetu warundi wanatupenda sana tena sana kutoka moyoni kabisa.
Ni kweli warundi wanatupenda na kutukubali sanaRwanda ndio wakala mkuu wa mabeberu katika eneo la maziwa makuu, wanamtumia kuivuruga DRC ili wale kirahisi.
Hivyo basi anapewa promo sana na hata PK akiua watu wake mabeberu yanaangalia pembeni, yanamhitaji.
Tanzania, hususani serikali ya awamu ya 4 kurudi nyuma tumekua bega kwa bega na Burundi, pia wale ndugu zetu warundi wanatupenda sana tena sana kutoka moyoni kabisa.