KENGE 01
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 1,592
- 3,839
Kwenye "kusaka tonge" Nimejikuta mara kadhaa nadondokea kwenye nchi jirani ila hii nchi ya BURUNDI inanifanya kila siku nizidi kuthamini na kuipenda TZ..Burundi ni nchi ambayo imepitiwa na Bonde la UFA "Rift valley" sasa sijui ni geographical area ndo inasababisha umaskini huu au ni nini? Lakini mbona Rwanda Nao ni nchi ndogo tena walikua Level moja kiuchumi miaka kadhaa ila Leo Rwanda iko mbali sana.
MIUNDOMBINU:
Barabara ya TZ ni nyembamba ila ya Burundi ni nyembamba Pro max na inamabonde,Mashimo,Kona na miinuko ya kufa mtu.Ajali ni kila siku tena zinaua kuliko za bongo.Mbaya zaidi wanatumia protocol ya barabara(Left na Right) kinyume na hii yetu hali ya kuwa magari mengi ni (Right hand)Kwaio kuovertake mpama utokeze mzimamzima kuchungulia hapo ndo msala unaanzia.kifuatacho ni INNALILLAH..BWANA ALITWAA..RIP
USAFIRI:
Burundi inamikoa zaidi ya 7 ila Airport iko moja tu nchi nzima (BUJUMBURA tu)..Usafiri wao sanasana ni TAX(probox mchomoko) bodaboda na Baiskeli ndo za Kumwagaa....!!!
MAMBO YANAYONISHANGAZA:
~Sio waislamu wala christians Burundi watu ni wafia dini yani wanajua na wanapenda dini balaa makanisani panajaa miskitini panajaa.Naamini dini zetu zinachangia pakubwa sana kwenye umaskini hapa Mzungu na Mwarabu walituweza washenzi wale...!!!
~Elimu HONGERA kwa Sekta ya Elimu ya TZ japo mtaala ni mbovu ila kwenye uniform TZ ilipatia sana..Haiwezekani wanafunzi wa Burundi sketi hazijawekewa Marinda yani zinachora shepu na vitoto vya sikuizi miaka 14 tu shape hiyoo.Watu kama KENGE tunapata tabu sana Wakuu..pia hata KENYA vyanafunzi vinavaa sketi fupi mno sijajua kwa UG na Rwanda.
Burundi wanapata sana Scholarship za France kwakua ni Colon lao..Elimu ni kuanzia la kwanza mpaka 13-16...
~Burundi hakuna Vivutio vya Utalii wala Mbuga za wanyama.Cha zaidi ni (Game reserve) Kinachoniuma kwenye Geography tulisoma Maeneo yaliyopitiwa na Rift valley yanaasilimia kubwa kutoa milima mirefu kama Oldonyo Lengai,Everest n.k Lakini kwa Burundi Hakuna Mlima hata mmoja wa kivutia cha utalii licha ya kuwa na miinuko,Mabonde nchi nzima
Cha kusikitisha kuna Ziwa Tanganyika ila Hakuna Mamlaka ya maji kama DAWASCO kwa TZ yaani kifupi kuna mgao wa maji hasa kule RUMONGE mkoa mzima umepakana na Ziwa ila kuna shida kubwa sana ya Maji Umeme ndo usiulize.
Mziki wanasikiliza wa TZ na Maeneo kama Rumonge wanaongea kiswaili vzuri kabsa ila Bujumbura ndo kuna baadhi wanaelewa kiswahili licha ya kuwa lugha mama ni Kirundi lakini asilimia kama zote wanabonga Kiswahili
Burundi ni nchi pekee unayoweza kusema wewe ni Tanzanian na wakakushobokea..Yaani pamoja na kwamba Nina ngozi ngumu kama ya KENGE na Sura mbaya kama Lori la Mchele kule Mbeya...Lakini huku kwa warundi nikisema tu mimi M-TZ basi watoto wananishobokea balaa kiasi kwamba wanavuka mpaka na kuniita (Hensam boi) Hapa ndo nikashtuka..Nenda Kenya sasa Useme wwe ni m-bongo uone wanavyokudharau...!!
Pia,Nilichogundua Bongo machokoraa wa stendi ni wasafi kulinganisha na wa Burund...Choko wa Burundi wanajua kuomba aisee hawakuachi na ni vichafu kinoma ukijumlisha Udongo ni mwekundu maeneo mengi basi vinakua vichafuu,,vyeusii..Mungu atuepushe na Umaskini aisee lakini Awezi kutuepusha kama sisi wenyewe tumebweteka kusubiri wazungu watutengenezee kila kitu.
Vilevile Ukitembea jiji zima hakuna nyumba iliotengenezwa kwa Tofali za Block..ni mwendo wa (Tofali za Choma)
Nchi kama hizi Chakula sio shida kwasababu uti wa uchumi wetu ni Kilimo kwaiyo vilevile Burundi Wanakima kila kitu na Kufuga kwaio nyama na Maziwa ni kama zote..Wana Ugali wao wa Roi umetengenezwa kwa Mihogo bongo inabidi tuutumie ni mzuri kwa Afya japo ukiskia unavyotengenezwa unaweza kuhairisha/Kususa kula..
~VYUO VIKUU vinapatikana Bujumbura tu
~AIRPORT ni moja tu nchi nzima
~FARANGA haina thamani kabsaa ukichange 100k Tsh kuwa Faranga wewe ni taita..
~Kama wabongo tu wanaamini South kwa Madiba ndo kuna Maisha yani ukifika umetoboa..
~Maeneo mengi vijijini gari likipita wanalishangaa wakubwa kwa watoto
Pamoja na yote BURUNDI wanazaliana balaa sio ajabu kukuta Mzee anawake wawili na kila Mke anawatoto 10+ nafkir ni kwasababuSTAREHE YA MASKINI NI KUDINYANA
Fursa za Ajira kwa wabongo ukija ukosi kabsaa yani kama unataka utoboe mapema ujenge mapema nenda Burundi kama unaakili ya pesa utapiga sana kwasababu bado wako nyuma ya muda
Narudi kuendelea,bado nipo bujumbura
Zaidi soma>>>
MIUNDOMBINU:
Barabara ya TZ ni nyembamba ila ya Burundi ni nyembamba Pro max na inamabonde,Mashimo,Kona na miinuko ya kufa mtu.Ajali ni kila siku tena zinaua kuliko za bongo.Mbaya zaidi wanatumia protocol ya barabara(Left na Right) kinyume na hii yetu hali ya kuwa magari mengi ni (Right hand)Kwaio kuovertake mpama utokeze mzimamzima kuchungulia hapo ndo msala unaanzia.kifuatacho ni INNALILLAH..BWANA ALITWAA..RIP
USAFIRI:
Burundi inamikoa zaidi ya 7 ila Airport iko moja tu nchi nzima (BUJUMBURA tu)..Usafiri wao sanasana ni TAX(probox mchomoko) bodaboda na Baiskeli ndo za Kumwagaa....!!!
MAMBO YANAYONISHANGAZA:
~Sio waislamu wala christians Burundi watu ni wafia dini yani wanajua na wanapenda dini balaa makanisani panajaa miskitini panajaa.Naamini dini zetu zinachangia pakubwa sana kwenye umaskini hapa Mzungu na Mwarabu walituweza washenzi wale...!!!
~Elimu HONGERA kwa Sekta ya Elimu ya TZ japo mtaala ni mbovu ila kwenye uniform TZ ilipatia sana..Haiwezekani wanafunzi wa Burundi sketi hazijawekewa Marinda yani zinachora shepu na vitoto vya sikuizi miaka 14 tu shape hiyoo.Watu kama KENGE tunapata tabu sana Wakuu..pia hata KENYA vyanafunzi vinavaa sketi fupi mno sijajua kwa UG na Rwanda.
Burundi wanapata sana Scholarship za France kwakua ni Colon lao..Elimu ni kuanzia la kwanza mpaka 13-16...
~Burundi hakuna Vivutio vya Utalii wala Mbuga za wanyama.Cha zaidi ni (Game reserve) Kinachoniuma kwenye Geography tulisoma Maeneo yaliyopitiwa na Rift valley yanaasilimia kubwa kutoa milima mirefu kama Oldonyo Lengai,Everest n.k Lakini kwa Burundi Hakuna Mlima hata mmoja wa kivutia cha utalii licha ya kuwa na miinuko,Mabonde nchi nzima
Cha kusikitisha kuna Ziwa Tanganyika ila Hakuna Mamlaka ya maji kama DAWASCO kwa TZ yaani kifupi kuna mgao wa maji hasa kule RUMONGE mkoa mzima umepakana na Ziwa ila kuna shida kubwa sana ya Maji Umeme ndo usiulize.
Mziki wanasikiliza wa TZ na Maeneo kama Rumonge wanaongea kiswaili vzuri kabsa ila Bujumbura ndo kuna baadhi wanaelewa kiswahili licha ya kuwa lugha mama ni Kirundi lakini asilimia kama zote wanabonga Kiswahili
Burundi ni nchi pekee unayoweza kusema wewe ni Tanzanian na wakakushobokea..Yaani pamoja na kwamba Nina ngozi ngumu kama ya KENGE na Sura mbaya kama Lori la Mchele kule Mbeya...Lakini huku kwa warundi nikisema tu mimi M-TZ basi watoto wananishobokea balaa kiasi kwamba wanavuka mpaka na kuniita (Hensam boi) Hapa ndo nikashtuka..Nenda Kenya sasa Useme wwe ni m-bongo uone wanavyokudharau...!!
Pia,Nilichogundua Bongo machokoraa wa stendi ni wasafi kulinganisha na wa Burund...Choko wa Burundi wanajua kuomba aisee hawakuachi na ni vichafu kinoma ukijumlisha Udongo ni mwekundu maeneo mengi basi vinakua vichafuu,,vyeusii..Mungu atuepushe na Umaskini aisee lakini Awezi kutuepusha kama sisi wenyewe tumebweteka kusubiri wazungu watutengenezee kila kitu.
Vilevile Ukitembea jiji zima hakuna nyumba iliotengenezwa kwa Tofali za Block..ni mwendo wa (Tofali za Choma)
Nchi kama hizi Chakula sio shida kwasababu uti wa uchumi wetu ni Kilimo kwaiyo vilevile Burundi Wanakima kila kitu na Kufuga kwaio nyama na Maziwa ni kama zote..Wana Ugali wao wa Roi umetengenezwa kwa Mihogo bongo inabidi tuutumie ni mzuri kwa Afya japo ukiskia unavyotengenezwa unaweza kuhairisha/Kususa kula..
~VYUO VIKUU vinapatikana Bujumbura tu
~AIRPORT ni moja tu nchi nzima
~FARANGA haina thamani kabsaa ukichange 100k Tsh kuwa Faranga wewe ni taita..
~Kama wabongo tu wanaamini South kwa Madiba ndo kuna Maisha yani ukifika umetoboa..
~Maeneo mengi vijijini gari likipita wanalishangaa wakubwa kwa watoto
Pamoja na yote BURUNDI wanazaliana balaa sio ajabu kukuta Mzee anawake wawili na kila Mke anawatoto 10+ nafkir ni kwasababuSTAREHE YA MASKINI NI KUDINYANA
Fursa za Ajira kwa wabongo ukija ukosi kabsaa yani kama unataka utoboe mapema ujenge mapema nenda Burundi kama unaakili ya pesa utapiga sana kwasababu bado wako nyuma ya muda
Narudi kuendelea,bado nipo bujumbura
Zaidi soma>>>
SoC03 - Jinsi Fursa nchini Burundi zinazoweza kubadili maisha na kuongeza kipato chako
UTANGULIZI Habari za muda huu wanajamvi,Kila mtu anahistoria yake katika safari ya utafutaji wa riziki,Wapo wenye historia za kusikitisha,kufurahisha na kuelimisha. Mwaka 2019 wakati dunia imekumbwa na mlipuko wa uviko 19,Na kupelekea kazi,Masomo na Shughuli mbalimbali kusimama.Nilipata...
www.jamiiforums.com