Hivi kwanini mtu akishaoa au kuolewa ndo yanaanza kuja mazari ya kukutana na wapenzi wengine wazuri zaidi?

iko hivi hata huyo unaemuona kama zali leo baada ya kuwa umeoa hata kipindi hujaoa alikuepo ila hukumuona anafaa, ila ulifanya maamuzi ya kumuoa huyo ambae leo hii unaona hafai. Hayo ni majaribu ndugu, mana shetani haipendi kabisa ndoa yaaani haipendi hata kidogo, na ukitaka ku prove hilo, huyo unaemuona zali muache mkeo alafu umeoe yeye uone kama utamuona ni zali tena
 
Hiyo ni sawa na pepa tu, baada ya ‘kalamu chini’ ukikusanya tu unaanza kukumbuka majibu sahihi.... imeisha hiyoooo.
 
Kusema ukweli; Mitihani mingine hii ni majaribu! (LAKINI SIYO KWA WOTE BUT MOSTLY HUTOKEA)

Mtu anaweza komaa miaka kadhaa kutafta mpenzi wa maana kwa taabu sana lakini punde tu akishaoa au kuolewa ndo mazari yanaanza!

Mfano; Kwa upande wetu wanaume; Kuna wakati unakutana na mwanamke hadi unajiuliza hivi huyu alikuwa wapi siku zote hizo? Mwanamke halazimishi kuolewa, mwanamke mwenye akili zake katika kushauri, Muelewa, Mrembo kila idara n.k Kiufupi matendo yake yanakufanya uone sifa zake adimu bila shuruti; Unajaribu kumchimba uone kama maisha ana pretend lakini unagundua ni real kabisa! But Tayali unakuwa ushaoa!

Hivi ni kwanini Mazari kama hayo huwa hayatokei mwanzo kabisa hadi yasubili mtu afunge ndoa?

Au ukishafunga ndoa ndipo huwa inakuja nyota ya ndoa?
Ndoa ni mitihani shehee! ni wachache waliofaulu ndo maana vyeti tunatunukiwa kabla usije ukaghairi
 
Au ukishafunga ndoa ndipo huwa inakuja nyota ya ndoa?

Majaribu huanza baada ya kuoa au kuolewa na ni mara chache kuonekana kabla ya ndoa. Kuna msemo huwa unasema ukishaoa ujue umenza vita na shetani "MTENGANISHI"
 
Hayo ni majaribu kutoka kwa shetani ili kuyumbisha ndoa yako, lazima usimame imara ili uyashinde maana ukiteleza tu hiyo ndoa utaichoka mapema na huenda ikachukua mkondo mwingine ambao hukutegemea kutokea.
 
Kusema ukweli; Mitihani mingine hii ni majaribu! (LAKINI SIYO KWA WOTE BUT MOSTLY HUTOKEA)

Mtu anaweza komaa miaka kadhaa kutafta mpenzi wa maana kwa taabu sana lakini punde tu akishaoa au kuolewa ndo mazari yanaanza!

Mfano; Kwa upande wetu wanaume; Kuna wakati unakutana na mwanamke hadi unajiuliza hivi huyu alikuwa wapi siku zote hizo? Mwanamke halazimishi kuolewa, mwanamke mwenye akili zake katika kushauri, Muelewa, Mrembo kila idara n.k Kiufupi matendo yake yanakufanya uone sifa zake adimu bila shuruti; Unajaribu kumchimba uone kama maisha ana pretend lakini unagundua ni real kabisa! But Tayali unakuwa ushaoa!

Hivi ni kwanini Mazari kama hayo huwa hayatokei mwanzo kabisa hadi yasubili mtu afunge ndoa?

Au ukishafunga ndoa ndipo huwa inakuja nyota ya ndoa?
Wazuri hawaishagi Cha mhm tuliana chako....tunza chandan hawara Hana shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Km ww ni muislamu hiyo Ina maana unaletewa wanawake na Allah ili ukamilishe zile nne bila Ila km ni Mkristo hayo ni majaribu/vishawishi unavyotakiwa kuvishinda kwa nguvu zote ili Yesu/Mungu adhihirike ndani yako....

NADHANI NIMESOMEKA
Kwani Allah sio Mungu!?
 
Kusema ukweli; Mitihani mingine hii ni majaribu! (LAKINI SIYO KWA WOTE BUT MOSTLY HUTOKEA)

Mtu anaweza komaa miaka kadhaa kutafta mpenzi wa maana kwa taabu sana lakini punde tu akishaoa au kuolewa ndo mazari yanaanza!

Mfano; Kwa upande wetu wanaume; Kuna wakati unakutana na mwanamke hadi unajiuliza hivi huyu alikuwa wapi siku zote hizo? Mwanamke halazimishi kuolewa, mwanamke mwenye akili zake katika kushauri, Muelewa, Mrembo kila idara n.k Kiufupi matendo yake yanakufanya uone sifa zake adimu bila shuruti; Unajaribu kumchimba uone kama maisha ana pretend lakini unagundua ni real kabisa! But Tayali unakuwa ushaoa!

Hivi ni kwanini Mazari kama hayo huwa hayatokei mwanzo kabisa hadi yasubili mtu afunge ndoa?

Au ukishafunga ndoa ndipo huwa inakuja nyota ya ndoa?
Uwa wanasubiria mpaka uoe au uolewe ndiyo wajitokeze.
Wengi wa hivyo upenda wanamke au mwanamme ambaye tayari ameshaolewa au ameshaoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hiyo kawaida kama vile mate na matembele,bangi na bangili,uchi na uchizi

malizia ...........
 
Back
Top Bottom