Kusema ukweli; Mitihani mingine hii ni majaribu! (LAKINI SIYO KWA WOTE BUT MOSTLY HUTOKEA)
Mtu anaweza komaa miaka kadhaa kutafta mpenzi wa maana kwa taabu sana lakini punde tu akishaoa au kuolewa ndo mazari yanaanza!
Mfano; Kwa upande wetu wanaume; Kuna wakati unakutana na mwanamke hadi unajiuliza hivi huyu alikuwa wapi siku zote hizo? Mwanamke halazimishi kuolewa, mwanamke mwenye akili zake katika kushauri, Muelewa, Mrembo kila idara n.k Kiufupi matendo yake yanakufanya uone sifa zake adimu bila shuruti; Unajaribu kumchimba uone kama maisha ana pretend lakini unagundua ni real kabisa! But Tayali unakuwa ushaoa!
Hivi ni kwanini Mazari kama hayo huwa hayatokei mwanzo kabisa hadi yasubili mtu afunge ndoa?
Au ukishafunga ndoa ndipo huwa inakuja nyota ya ndoa?
Mtu anaweza komaa miaka kadhaa kutafta mpenzi wa maana kwa taabu sana lakini punde tu akishaoa au kuolewa ndo mazari yanaanza!
Mfano; Kwa upande wetu wanaume; Kuna wakati unakutana na mwanamke hadi unajiuliza hivi huyu alikuwa wapi siku zote hizo? Mwanamke halazimishi kuolewa, mwanamke mwenye akili zake katika kushauri, Muelewa, Mrembo kila idara n.k Kiufupi matendo yake yanakufanya uone sifa zake adimu bila shuruti; Unajaribu kumchimba uone kama maisha ana pretend lakini unagundua ni real kabisa! But Tayali unakuwa ushaoa!
Hivi ni kwanini Mazari kama hayo huwa hayatokei mwanzo kabisa hadi yasubili mtu afunge ndoa?
Au ukishafunga ndoa ndipo huwa inakuja nyota ya ndoa?