Hivi kwanini mchokane?

Hivi kwanini mchokane?

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
72,146
Reaction score
190,619
Kumbuka mlivyokutana, mkatongozana mkaelewana, mkanjunju weee kwa kila style kila saa mkutanapo.

Mkapostiana kwenye mitandao wee kila upande wa dunia. Ooh you're my errything bey...Me and you forever boo...!!!

Mmeitana kila aina ya Pet names spent alot of times together on each others spot. Nobody looked perfect on you unajua except for him, or her.

All over sudden, ati jamaa kageuka mbwa? Mshenzi and all that curse is for him. Mwanamke kawa bitch nae.
Aisee huwa tunakwama wapi jamani.!?

Inakuwaje unamchoka mtu unayempenda? Inatokeaje yani maana ulimpenda kama lulu?
 
Kumbuka mlivyokutana, mkatongozana mkaelewana, mkanjunju weee kwa kila style kila saa mkutanapo.

Mkapostiana kwenye mitandao wee kila upande wa dunia. Ooh you're my errything bey...Me and you forever boo...!!!

Mmeitana kila aina ya Pet names spent alot of times together on each others spot. Nobody looked perfect on you unajua except for him, or her.

All over sudden, ati jamaa kageuka mbwa? Mshenzi and all that curse is for him. Mwanamke kawa bitch nae.
Aisee huwa tunakwama wapi jamani.!?

Inakuwaje unamchoka mtu unayempenda? Inatokeaje yani maana ulimpenda kama lulu?
Hakukuwa na mapenzi Kati yenu... Mliongozwa na tamaa tu
 
Ndugu mfumo mzima wa maisha ndo unatuharibu

Na pia n kama sisi tulivo na tamaa bas na wao nd hvyo hvyo

Tunajtahd sana ila sincerely speaking huwez kmtimizia mwanamke kila kitu

Mwanamke akiwa deeply in love hutaka mda wote muwe mnawasiliana....means ucende chooni...usile....na pia ucwe bize...!!
Wanaume hatuwezi hili coz adhabu ya kutafuta kwa jasho inatubana..!!

Na kwanza haya mambo yalishaisha 2014....now days tupo dunga dunga tuuu...!!
 
Na kwanza ndugu naamini wengi wapo pamoja kwakuwa hawajapata wanayemhtaji....!!wanawake n wanaume huenda na hitaji lilipo..!!

Kuchokana n dalili ya kuw kuna mmoja ameshapata upenyo...!!dharau n kiburi hfuata kisha break up

Out of topic
Hakuna kipindi ambacho girls wanarudi kwa maEX zao kwa kasi ya 4G kama kipindi hiki

Just hii ni kama walipendwa lkn hawakuona hilo
Na huko walipoenda wamekutana na mapopo wala mabungo
 
Kumbuka mlivyokutana, mkatongozana mkaelewana, mkanjunju weee kwa kila style kila saa mkutanapo.

Mkapostiana kwenye mitandao wee kila upande wa dunia. Ooh you're my errything bey...Me and you forever boo...!!!

Mmeitana kila aina ya Pet names spent alot of times together on each others spot. Nobody looked perfect on you unajua except for him, or her.

All over sudden, ati jamaa kageuka mbwa? Mshenzi and all that curse is for him. Mwanamke kawa bitch nae.
Aisee huwa tunakwama wapi jamani.!?

Inakuwaje unamchoka mtu unayempenda? Inatokeaje yani maana ulimpenda kama lulu?

Ukipata muda pita humu kitakusaidia sana hiki kujibu swali lako kwa kiasi flani

IMG_2929.JPG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom