⛽ mtoa post kaongea menge kw yale anayoyafaham ila ukwe wa kumiliki mali ni mgumu sn, japo siri ya mafanikio nikujituma, nikweli tunajituma sana, pia maandiko yamesaidia ktk ufafanuz kwamba TAJIRI KUINGIA PEPONI NI SAWA NA NGAMIA KUPENYA KTK TUNDU LA SINDANO,, pia unapo taka kucbakata hoja na kupata majibu ya mingi soma andiko hilo,, mimi naamini hakuna rundo la Mali linalokosa ushirikina ndani yake, wa hindi na waabu hawa viumbe wana miliki majin, chumaulete, ,makafara, kiujumla hayo ni mambo magumu sana kwetu cc, japo wapo wachache wenye mioyo hio ya ujasiriwahindi waliozaliwa mtwara na waarabu wa rukwa.......
na ndio wanaoongoza kuwa na mazezeta majumbani kwao.
hii ishu watu wanasema ni uchawi lakini so kweli watoto wakihind wanafungiwa ndani mda mwingi hiyo inapelekea kushindwa kucheza na wenzao so wanakuwa hawachangamki kama mataila hivina ndio wanaoongoza kuwa na mazezeta majumbani kwao.
Mkuu sijui una umri gani ,ila kama una miaka 25 kurudi chini, usibishe nyamaza, kwakua bado unakua utayakuta huko mbelenihii ishu watu wanasema ni uchawi lakini so kweli watoto wakihind wanafungiwa ndani mda mwingi hiyo inapelekea kushindwa kucheza na wenzao so wanakuwa hawachangamki kama mataila hivi
Upo sahihi mkuu, wengi hatuna nidhamu ya matumizi na tumekosa maono na shida inakuja pale unapopata mke asiye na future inakuwa ni shida juu ya shida na ndugu nao kila kukicha wao ni mizinga wakiwa na imani kuwa mtaji wako au mshahara wako unaweza ukawahudumia wotewote. Pongezi kwa Wachaga&Wakinga walau wanajitaidi ktk ilo.Trump anayo jawabu....tuwache ngono..
Uzinzi wa hovyo kws kuona ukiwa na mademu ndo utajiri.
Pia tuwache ulevi...ulevi ni umasikini
Kitu kingine tujifunzee savings..
Ukiwa na malengo basi utafika tu.
Wapo vijana wa kichaga wamepiga sana...wana malengo....
Sio utajir huo sasaSio kweli wako watanzania weusi wengi ni matajiri sana,ila utajiri wetu uko kwenye mifugo mashamba makubwa, nyumba na viwanja.Na wengi wanaishi maisha ya kawaida,na wengine wanafukia pesa haweki Benki.Akifa PESA ndio imepoteam
Lkn hawapo kwenye list ya matajirMuulize Baba yako. Mbona Moshi wapo matajiri ambao sio weupe? BTW huo ni ubaguzi.
mh hawa majamaa kitu kinachoitwa shida hawakitaki kabisa na elimu mwisho form 4 dukani dah..Mhindi anaishi Kariakoo
Sisi Tunajenga Mbweni au Bunju na gari la thamani sawa na nyumba ya kariakoo (apartmetn) wao wananunua na kupunguza zile fujo za kusafiri kila siku kutoka mbali
Huo pia ni utajiri,ukiuza mifugo unapata pesa,ukivuna mazao unapata pesa,ukiwa na nyumba za wageni(guest house)unapata pesa,ila sisi pesa zetu hatuweki benki,tunafukia.Na pia hatutengenezi ajira endelevu.Kwa hiyo kuonekana tuna pesa inakuwa ngumu sana.Sio utajir huo sasa
Pesa ya wizi ileChenge mbona siyo muhind wala mwarabu?