Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Wewe huko bar, na gesti houses unatafuta nini?
Kwa kuwepo bar ni kula maji ya dhahabu,ila guest huko mmmmm!
Wewe huko bar, na gesti houses unatafuta nini?
Walokole..! Ni kweli wachache wako honest ila wengi wao wanaogopa macho ya watu ila mioyo yao iko mbali na Ukweli..
Toa ndugu....toa ndugu hii sio sadaka kama wengi tunavyoamini ndio maana niliacha kwenda kanisani
Usihoji sana maswala ya dini/imani, utakaribia kukufuru kijana...
Haya maswala ya imani ni ya kimapokeo, na ni vyema kuyapokea kwa imani...
Ni kweli imani ni kuamini
Hata mimi nimejiuliZa sana hilo....labda ni sheria
Wanatakiwa waokoke ndiyo watabadilika
Wanatakiwa waokoke ndiyo watabadilika
Kwa wale wakristu/wakristo mtanielewa. Hasa Roman catholic.
Kwanini wakati wa kutoa sadaka watu huenda kutoa kwa unyenyekevu sana? Mwendo hubadilika, facial expressions na body gestures huwa very submissive lakini wakitoka hapo unakutana nao bar, gest houses na wengine washirikina. Je hii ni impact ya docility tuliyowekewa kwenye akili zetu.??