Hivi kwanini inakuwaga hivi?

Hivi kwanini inakuwaga hivi?

Mwalupale

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2012
Posts
1,048
Reaction score
676
Kwa wale wakristu/wakristo mtanielewa. Hasa Roman catholic.
Kwanini wakati wa kutoa sadaka watu huenda kutoa kwa unyenyekevu sana? Mwendo hubadilika, facial expressions na body gestures huwa very submissive lakini wakitoka hapo unakutana nao bar, gest houses na wengine washirikina. Je hii ni impact ya docility tuliyowekewa kwenye akili zetu.??
 
Hata mimi nimejiuliZa sana hilo....labda ni sheria
 
Mwalupale

Kanisani kwetu (parokia) visonzo vya sadaka tunapokezana tukiwa tumeketi kwenye viti vyetu.. hapo utasemaje?
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale wakristu/wakristo mtanielewa. Hasa Roman catholic.
Kwanini wakati wa kutoa sadaka watu huenda kutoa kwa unyenyekevu sana? Mwendo hubadilika, facial expressions na body gestures huwa very submissive lakini wakitoka hapo unakutana nao bar, gest houses na wengine washirikina. Je hii ni impact ya docility tuliyowekewa kwenye akili zetu.??
Wewe huko bar, na gesti houses unatafuta nini?
 
Toa ndugu....toa ndugu hii sio sadaka kama wengi tunavyoamini ndio maana niliacha kwenda kanisani
 
Haijalishi ukitoka hapo unaelekea wapi kikubwa na cha msingi ni uko wapi. Ni nyumba ya ibada na kwa imani tunaamini mahali patakatifu. Tosha. Kumbuka kuna mkao wa baa na mkao wa g/house. Tofautisha na mkao wa kanisani
 
We nae uwe unatumia akili...umeshasema ni kanisani halafu unadai wananyenyekea...sasa unataka waende wanatroti au?
 
MASWAI MENGINE BANA,SASA WW ULITAKA WAENDE wanadundika au kama wanakatika kigodoro?
 
Usihoji sana maswala ya dini/imani, utakaribia kukufuru kijana...
Haya maswala ya imani ni ya kimapokeo, na ni vyema kuyapokea kwa imani...
 
Mwalupale

Mkuuu tukuulize wewe ni kwanini inakuwa hivyo?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom