Mwalupale
JF-Expert Member
- Apr 29, 2012
- 1,048
- 676
Kwa wale wakristu/wakristo mtanielewa. Hasa Roman catholic.
Kwanini wakati wa kutoa sadaka watu huenda kutoa kwa unyenyekevu sana? Mwendo hubadilika, facial expressions na body gestures huwa very submissive lakini wakitoka hapo unakutana nao bar, gest houses na wengine washirikina. Je hii ni impact ya docility tuliyowekewa kwenye akili zetu.??
Kwanini wakati wa kutoa sadaka watu huenda kutoa kwa unyenyekevu sana? Mwendo hubadilika, facial expressions na body gestures huwa very submissive lakini wakitoka hapo unakutana nao bar, gest houses na wengine washirikina. Je hii ni impact ya docility tuliyowekewa kwenye akili zetu.??