kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,163
- 2,223
Kuna huduma nyingi sana za kifedha uwa zinakosa vibari kufanya kazi hapa nchini na hii inakwamisha watu wanaofanya kazi na biashara mtandaoni na ukiuliza wahusika watakwambia ni kwasababu ya sheria za kifedha Tanzania. Wenzetu kenya mambo safi na karibia nyingi Africa sijui kwanini sisi hatuendi na kasi ya mabadiriko/
Mifano
Paypal mpaka leo Tanzania huwezi pokea ela sijui wanabana kwasababu gani sijui kwanini BOT wanabana.
Skrill waliapply ili iwezekani mtu kutuma ela kutoka account yake ya skrill kuja mpesa na tigo pesa wameomba waruhusiwe toka mwaka 2015 mpaka leo hakuna wakati kenya unaweza tuma ela toa skrill ikaingia mpesa. Na sababu wanazotoa hao skrill ni kwamba BOT hawajapitisha ombi lao.
Haya mambo yanakwamisha sana hasa watu wanaolipwa kutoka nje bank wire ni expensive na inachukua muda wakati mobile wallet ni cheap na zinasave muda.
BOT kama mko humu jaribuni kuangalia hili jambo maana kama mnataka kwenda na kasi ya mabadiriko angalieni upande wa pili wa shilingi watu wengi wanashindwa kupata vipato vyao on time.
Mifano
Paypal mpaka leo Tanzania huwezi pokea ela sijui wanabana kwasababu gani sijui kwanini BOT wanabana.
Skrill waliapply ili iwezekani mtu kutuma ela kutoka account yake ya skrill kuja mpesa na tigo pesa wameomba waruhusiwe toka mwaka 2015 mpaka leo hakuna wakati kenya unaweza tuma ela toa skrill ikaingia mpesa. Na sababu wanazotoa hao skrill ni kwamba BOT hawajapitisha ombi lao.
Haya mambo yanakwamisha sana hasa watu wanaolipwa kutoka nje bank wire ni expensive na inachukua muda wakati mobile wallet ni cheap na zinasave muda.
BOT kama mko humu jaribuni kuangalia hili jambo maana kama mnataka kwenda na kasi ya mabadiriko angalieni upande wa pili wa shilingi watu wengi wanashindwa kupata vipato vyao on time.