Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,629
- 188,878
Lenye mwanzo halikosi mwisho!
Ukimkuta dada au mama yako anabakwa si vibaya kumshikia paja mbakaji ili uwezo wako wa kufikiri usio na wivu utimie.Hizi fikra ni za kiwivu hivi!
Usitumie neno 'lazima' wakati mtu kafanya kampeni kama wengine na katangazwa kashinda.Aidah lazima ajiuzulu.Lakini iwapo anapenda kuwa mbunge basi atangaze kuwa ameunga mkono juhudi na uchaguzi mgodo uitishwe agombanie apate
Sidhani kama Mbowe ni dikteta.Usitumie neno 'lazima' wakati mtu kafanya kampeni kama wengine na katangazwa kashinda.
Haya mabavu ndiyo yanasababisha wengine wahame waunge mkono juhudi na Mbowe kuonekana dikteta kwenye chama
Tena kapambana haswa huyo dada ni jeshi la mtu mmoja.Usitumie neno 'lazima' wakati mtu kafanya kampeni kama wengine na katangazwa kashinda.
Haya mabavu ndiyo yanasababisha wengine wahame waunge mkono juhudi na Mbowe kuonekana dikteta kwenye chama
kujipendekeza kote kuleHuu mkosi mkubwa
Wenzio wamepitishwa bila kupingwa..
Wengine polisi wameingiza masanduku mradi wapite...
Sasa inakuaje chama kisimsaidie na yeye??
Ushindi huo unakua na faida kutokana na viongozi wenyewe. Kama kiongozi ni duwanzi, basi hakuna faida yyt na ushindi huo.sidhani kama Mboe ni dikteta.
Ushindi wa asilimia 99 mara nyingi ni tatizo.Ushindi wa 99% uliku wa unatikea enzi za sadam Hussein na Gaddafi na katika nyakati za sasa kwa kagame na Museveni.
Swali : Je ushindi wa 99% una faida kwa taifa?
Huko bungeni anakwenda kuwakilisha chama au wananchi wake?Kujiudhuru kutaonesha hayupo kimaslahi. Mtu mwenye akiki timamu hawezi furahia kwenda bungeni wakat wenzake wamefanyiwa michezo michafu.
Chadema kufa ndiyo lengo la watawala na hakuna tatizo. Umefurahi sasa?Kwani Chadema watakuwa na viti vingapi vya wanawake. Nafikiri Chadema kama chama is finish.
Raia watapata taarifa hata kama chadema hawapo. Siyo lazima chadema wawepo ndipo raia wapate taarifaHizi hasira hazijengi. CCM wasiachwe peke yao kule ndani. Huu ususaji hautawazuia CCM kuendelea na Bunge lao
CHADEMA ipeleke hao viti maalumu angalau wakaobserve na kuchallenge vitu vya kipuuzi. Hata kama watashindwa, which is obvious, lakini raia watapata taarifa
Kwani Cecil Mwambe alikuwa namwakilisha nani Bungeni?Huko bungeni anakwenda kuwakilisha chama au wananchi wake?
Ni kweli. Watazipata kupitia wabunge wa CCM au wale wa CUF watakaokuwa BungeniRaia watapata taarifa hata kama chadema hawapo. Siyo lazima chadema wawepo ndipo raia wapate taarifa
Sure kumkataza ni ubinafsi asikubali huo ujingaUko sahihi ni vyema wamwache na yeye alambe posho kama wao walivyokula kwa miaka 10.
Ajiudhulu kwa kosa lipi alilotenda?
Kwa sababu wengine wote walioshinda wameporwa ushindi kuanzia Tundu Lissu na wengineoWakuu Salaam:
Nazunguka kila site kufatilia kinachojiri kuhusu matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika juzi.
Mh.Aidah Khenan ameshinda kupitia CHADEMA dhidi ya Kessy kule Nkasi Kaskazini. Sasa kinachoshangaza ni baadhi ya watu ambao pia wana Profile nzuri tuu kwa namna fulani wanapendekeza hata huu Ubunge alioshinda huyu Mh. aupige chini.
Ubunge ni kazi kama kazi zingine na yeye pia anao wanaomwangalia na ndicho alichokua anapigania muda wote wa kampeni.
Ule ulikua ni uchaguzi na yeye ndiyo katangazwa, kwanini watu wanapendekeza na kutoa maoni kabisa asikubali na wala asiende bungeni wakati ndiyo yeye katangazwa?
Kasema mwenyewe kuwa hataki kwenda bungeni na hadi sasa viongozi wake hawajasema lolote. Kumbuka huyu alikuwa mbunge wa viti maalum chadema bunge lililopita. Anajua anachokisimamia. Hawezi kwenda bungeni ili ccm wapate mtu wa kumdhihakiYa nini sasa afanye hivyo?
Hivi hizi ideas ni za nini?
Kashinda, aachwe aende bungen..shit!!!
Mbona unateseka sana? Ulimsaidia kutafuta kura?Sure kumkataza ni ubinafsi asikubali huo ujinga