Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 26,221
- 53,033
Dah ukisikia maajabu basi ndio haya, nimekuwa najiuliza kwanini watu Wakiona kivuko lazima wakikimbilie Kama vile wameona pepo?
Utashangaa watu Wanakimbia Kama vile wame sikia dunia Imefika mwisho, sio wanaume au Wanawake wote ni majanga tu.
Yaani una eza dhania ni game so Kuna mtu anawaendesha?
Utashangaa watu Wanakimbia Kama vile wame sikia dunia Imefika mwisho, sio wanaume au Wanawake wote ni majanga tu.
Yaani una eza dhania ni game so Kuna mtu anawaendesha?