no is a ghost president yaani hakai magogoni lakini anaongoza, akipita watu wanajitokeaza kumlaki,ukiangalia mioyoni mwa watanzania unamuona! kuna rafiki yangu mkenya huwa ananiuliza kila mara kuwa rais dr.slaa hajambo? yaani hata wakenya wanajua kuwa ndio chaguo la watanzania kama sisi tunavyojua kuwa kipenzi cha wakenya ni raila,waganda ni dr.besije, kongo ni etiene na zanzibar ni maalim seifKweli Mkuu kama tuna mawaziri vivuli na waziri mkuu kivuli (KUB) kwa nini tusiwe na Rais Kivuli na Makamo wake Kivuli?
"Ngoja nirudi nyumbani nimeshamuona" mama mmoja alisikika akisema baada ya dr.Slaa kupita. Mia
Unaambiwa kwa kilomita 22 walikuwa pembeni ya barabara wengine wakiwa mbele ya gari laki wengine wakiambatana na gari wakishangilia kwa vigelegele na shangwe ,Polisi mmoja alisikika akisema nchi imefilisika, maisha yamekuwa magumu watu wana hasira na serikali leo hii hawa wananchi wanaomuona Dr Slaa mkombozi wao tuwazuie waje watugeuzie kibao cha kutuadhibu sisi waache watembee naye mpaka kiu yao iishe , kwa maana nyingine kulikuwa na maandamanao ya mapokezi wakimpokea Raisi wao wa mioyoni
Umenikumbusha kitu mkuu machozi yananilenga
ndo mama mungu anambarikikweli mkuu nakumbuka siku aliyokuja akitoka zanibar kutafuta wadhamini nilikuwepo pale mwl jk.airport, halafu tukaja naye taratibu mpaka jangwani,huku helkopita ikuruka juu nakumbuka watu walivyotaka kutandika nguo zao chini ili akanyage akakataa akisema kwa imani yake hiyo itakuwa kufuru.
Dk. Slaa akikaribishwa na mbunge wa mbeya mjini, Mh. Joseph Mbilinyi mara baada ya kuwasili maeneo ya Uyole jijini Mbeya jana jioni.
Baadhi ya wabunge na wanachama wa Chadema wakimsikiliza kwa makini Dk Slaa mara baada ya kuwasili jijini Mbeya jana jioni.
Dk. Slaa akishangiliwa na wanachama wake alipokuwa akipita maeneo ya Mwanjelwa jijini Mbeya jana jioni.
Hapa ndugu zangu nimejiuliza maswali mengi sana kuwa kama Dr Slaa ni katibu mkuu wa chama cha siasa (chadema) na si kiongozi wa serikali, na wananchi wanampokea zaidi ya rais, kiashilio chake ni nini??, je Maalimu seif hupokelewa hivi kama katibu mkuu wa CUF? Katibu mkuu wa ccm Mkama je nae hupokelewa hivi??
Hayo ndoo maswali yangu machache kwa JF.
Mzee slaa miaka inavyokwenda remind me of an old, dying dog with just a few kicks left in it. anatembea mikoa CDM inaguvu ili ajipe moyo hayo mapokezi ya Mbeya was one of those kicks.......
nakumbuka 1995 ile ilikueww nguvu ya mrema lakini hii ni nguvu ya umma yaani ni mbingu na ardhiuna umri gani? 1995 Mrema alikuwa na nyomi nchi nzima mpaka lindi na Mtwara,hilo halikumfanya kuwa Rais,2015 kama mna ndoto za kwenda Ikulu itakuwa kupigwa dozi ya kikombe cha juice baada ya kupata gonjwa la kukataa matokeo!!
pumpkin head................kenge akikatwa mkia bado anakuwa kenge tu!!!Ni rais kivuli wa Tanzania
pumpkin head................kenge akikatwa mkia bado anakuwa kenge tu!!!
pumpkin head................kenge akikatwa mkia bado anakuwa kenge tu!!!
Ukiona hivyo wivu utamjaa KIkwete mtasikia kamanda wa polisi mbeya anarudishwa makao Makuu bench....Kama Yule kamanda wa polisi Arusha ...pamoja na busara Yake iliyookoa Arusha kuwa Lindi la damu..hivi sasa yupo bench la nguvu makao Makuu....kazi Yake ni kukaa kwenye kaofisi kadogo..,LASIK kuwa na faili..judoka magazeti ,kunywa chai na ku chat na kukimbizana na mabinti wanaodeki .....sasa afanyeje......kwa walio serikalini wanajuwa maana ya bench......unasubiri mshahara tu....hakuna cha overtime,safari wala semina.....ni frustrations kwa kwenda mbele...